Simu ya siri

mwakwetu

JF-Expert Member
Jul 29, 2007
789
289
Habari wana ukumbi, naomba tupeane mawazo na ushauri juu ya hili, simu ya mpenzi nimeidivert na call recordings akashtuka sasa majuzi nimebamba na simu nyengine na line nyengine ambayo hutumika mimi nikiwa sipo, anasema ni ya mazingumzo ya siri kati yake na familia yake. Tupeane ushauri mimi limeniumiza kichwa
 
Yawn we faaaalasi aw mwisho

Siri ya familia?familia gani?
Its practically anakucheat.akil kumkichwa chunguza utabaini.
 
Simu ya siri haya makubwa, familia gani sasa anazungumzia wakati mke wako.
 
Ni mambo yao ya kifamilia mimi sipaswi kujua ila sijaamini
una mpango gani na huyo mwanamke kama mna mipango ya pamoja sioni sababu ya kuwa na siri ya familia yao...angalia siri ya familia yaweza kuwa wanamtafutia mme huko na wewe unasema siri ya familia
 
Ndugu, ya nini kuhangaika na mambo ya mpenzi wako? Wewe hangaika na kutafuta Fedha tu. Fedha zikusumbue, na mwanamke pia akusumbue? Angriiiiiii!
Kinachotakiwa ujiepushe na kumfuatilia fuatilia na kuliza uliza maswali, utaepusha mengi.
Ukimuona ana simu hata 3, au ana namba ambayo wewe huijui usimuulize kitu, wewe zingatia tu jinsi anavyotimiza majukumu yake katika penzi lenu.
 
Ndugu, ya nini kuhangaika na mambo ya mpenzi wako? Wewe hangaika na kutafuta Fedha tu. Fedha zikusumbue, na mwanamke pia akusumbue? Angriiiiiii!
Kinachotakiwa ujiepushe na kumfuatilia fuatilia na kuliza uliza maswali, utaepusha mengi.
Ukimuona ana simu hata 3, au ana namba ambayo wewe huijui usimuulize kitu, wewe zingatia tu jinsi anavyotimiza majukumu yake katika penzi lenu.
asante
 
Umefunga naye ndoa? Kama ndio yavumilie muelewane, kama bado chukua chako mapema, Huyo hakufai, hakuna siri baina ya wapenzi, kama kuna tatizo kwenye familia yao we unapaswa kujua na kumsaidia kulitatua.
 
Duh! hiyo kweli simu ya siri..na ukute hiyo familia na yeye na mme mwenzio..wewe tu hujamuelewa.,.
 
Habari wana ukumbi, naomba tupeane mawazo na ushauri juu ya hili, simu ya mpenzi nimeidivert na call recordings akashtuka sasa majuzi nimebamba na simu nyengine na line nyengine ambayo hutumika mimi nikiwa sipo, anasema ni ya mazingumzo ya siri kati yake na familia yake. Tupeane ushauri mimi limeniumiza kichwa

mkuu hapo hakuna mapenzi, kuna mtu ampendaye, hakuna mazungumzo ya siri na ndugu zake, kwa nini iwe siri, na anaongelea akiwa wapi? hapo unaibiwa
 
mapenzi ya siku hizi bila kugombana hayana stim,
pia ni ruhusa kushikana ila si kushikiana simu.


Hukufanya jambo jema kudivert namba yake kila mtu huhitaji privacy si lazima privacy iwe kwa ajili ya kucheat kuna mambo ya kifamilia zaidi.
 
mapenzi ya siku hizi bila kugombana hayana stim,
pia ni ruhusa kushikana ila si kushikiana simu.


Hukufanya jambo jema kudivert namba yake kila mtu huhitaji privacy si lazima privacy iwe kwa ajili ya kucheat kuna mambo ya kifamilia zaidi.
nilidivert baada ya kuona dalili za cheatinng na moja nilifaulu kuizima
 
Back
Top Bottom