Recent content by rorena

  1. R

    The benefits of being a mistress

    mi nakusapoti kabisa. hakuna haja ya kutunza shamba kwa ajili ya "muhindi" mmoja
  2. R

    Msaada: Sijaona siku zangu miezi mitatu

    Habari ndugu zangu. mi ni mama wa mtoto mmoja nina miezi mitatu sasa sijaona siku zangu, Nimepima mimba mara tatu na hospital tofauti tofauti inaonyesha sin mimba sasa sijui tatizo ni nini? Na sijawahi kutumia njia yeyote ya uzazi wa mpango wala hali hii haijawahi kutokea tangu niivunje ungo.
  3. R

    Hadithi;The girls in island -11

    tupe muendelezo basi
  4. R

    Masimulizi: Beyond Pain

    tunachoka kusubiri jaman
  5. R

    Shamba heka 5 kwa ml3

    Kwa watu wa Tanga shamba lipo Kwadizinga barabara ya Dar - Tanga Mawasiliano 0684 484438
  6. R

    Shamba heka tano kwa mil3

    ukitoka segera kama unaelekea dar unaanza michungwani then kwadizinga ndio uje kabuku
  7. R

    Shamba heka tano kwa mil3

    Kwa wakazi wa tanga, shamba lipo maeneo ya kwadizinga mbele ya michungwani kwa anaehitaji Mawasiliano 0684 484438
  8. R

    nauza shamba heka 5 lipo TANGA

    Karibuni wadau. kwa anehitaji shamba lipo kwadizinga barabara ya tanga dar. bei maelewano nichek namba 0684 484438
  9. R

    Shamba linauzwa Tanga

    sema kama unataka
  10. R

    Shamba linauzwa Tanga

    Kwa wakazi wa Tanga, shamba Heka 5, eneo ni Kwadizinga Shule, mbele ya michungwani. Bei ni nafuu! Mawasiliano ni; 0684 484438
  11. R

    Wauza smartphone tukutane hapa

    tecno p9 250000 nipo arusha
  12. R

    PSPF mbona wasumbufu katika kulipa mafao?

    kitu kingine ni hizi ela za miezi mitatu mitatu. mwezi wa nne watu walilalamika sana mwezi huu wamerudia tena. pspf mnakera
  13. R

    Tanzia: Mwanzilishi na Bosi wa Tip Top Connection, Abdul Bonge afariki dunia

    R.I.P.Tulikupenda ila mungu amekupenda zaidi
Back
Top Bottom