Hivi vita sio nzuri italeta mazala kwa uchumi wa dunia huenda dola ikashuka thamani, huu ni mtego wapanya wataingia na wasio kuwemo tuombe Mungu aipushie mbali
Ukiona hivyo ujue anajua udhaifu wako, hivyo kakuepushia lawama kuwa umeua mtaji, ila mimi nina experiance ya kuwafungulia mama yangu na dada angu biashara zikafa kuja kufuatilia ni watu walama kwa wafanyakazi yaani wasaidizi kuliko kutafuta source of failure yaani ni hivyo kwangu mie naona
Dah hii ni kweli, polisi ifanye kazi kwa weledi sasa mimi ni muhanga wa kukurupuka kwa polisi mjomba aligombana na mtu mwingine polisi walivyo mkosa wakaja kunibeba mimi full vipigo na pingu mtaani watu wanashangaa huyu kafanya nini , kumbe ni jambazi nakumbuka mpaka sasa huwa najawa na hasira...
Mambo unayo kutanayo katika mahusiano unaweza ishia kuwa kicheche tu na kuwavua nguo hawa dada zetu nakusepa wengi wao hawapo kiwife material , maisha yao katika mahusiano ni ya kitamthilia zaidi kuliko uhalisia.
Hakuna mpango endelevu na hata ukimfanyia anayo yatamani bado mjue mpo watatu...
Je unajua kuwa warusi ni wanafiki , wakati israel wanaenda kuangamiza kinu cha Nuclear cha Syria warusi waliwauzia Israel secrete code za radar , soma hiyo au angalia Youtube story nzima , pili Israel ali angamiza kinu cha nuclear cha Iraq bila wao kurudi kulipa kisasai , Wameunda kitu...
Aliwa Twanga kisawa sawa muungano wa syria, jordan, iraq wakiongwa na misri kama ndio jemadari wao ndani ya siku sita wakawa hoi, inaitwa six days war.
Kijana soma historia utakujua hakuna Taifa linalo itwa Parestina , parestina ilikuja baada ya empire rumi kujaribu kubadisha jina la israel baada ya kuona waisraeli wanishi hawatawiki kirahisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.