kwanini key players wetu wakisha sign new contract na wakiwa highest earners kwa club wanaanza kuwa flop...refer ozil,auba na half haverz😂😂😂
NB: siombei hiyo trend iwe kwa ode
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) hivi karibuni limetoa orosha ya vilabu vinavyoongoza kwa ubora barani humo kwa mwaka 2023.
Watani wa jadi nchini Tanzania Simba na Yanga wameonekana kuongeza alama huku kila mmoja akipanda katika viwango vya ubora CAF.
Simba ambayo ilikuwa nafasi ya 11...
1.umeingia kwenye mind ya kusaga nakuona anamaanisha hivyo usemavyo?
2.Unaishi na familia ya diamond na kuona kweli hamsaidii baba yake kama asemavyo huyo mzee?
3.Umesikia mahojiano ya queen darlin juzi yanayohusu utunzaji wa baba yao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.