Mbaya zaidi hao wasanii waliopo hapo karibu wote,huwa nazipenda kazi zao,kuanzia leo hii nakuendelea sina mpango nao tena,nimeziharibu vicd na vidvd vyao tupilia mbali.
Jamaa mmoja baada ya kusumbuliwa sana na gari lililokuwa mbele yake,akaamua kuchukua namba iliyoandikwa nyuma ya gari,nakuipiga,aliyeipokea alimuuliza shida nini,jamaa akasema huyu dereva wa gari yako nadhani hafai kuendesha hili gari,inaonesha sio mstaaarabu na si mtumiaji mzuri wa...
mimi mwenzenu tangu tar 1 mwezi wa tatu hakifanyi kazi,nimebadilisha antena mbalimbali hakuna kitu,nimefunga zuku,tatizo na wenyewe local chanels hawana zaidi ya tbc na chanel 10,nafikiria kuijaribu digtek,sijui mnanishauri vipi wanajf
Mwambie aniige mimi,huwa naiangalia huku nimeshika remote mkononi,tatizo zuku hawana local chanel zaid ya tbc na ch 10,wakiweka zile habari zao huyooo qtv kuangalia mieleka.hadi raha
Mwambie aniige mimi,huwa naiangalia huku nimeshika remote mkononi,tatizo zuku hawana local chanel zaid ya tbc na ch 10,wakiweka zile habari zao huyooo qtv kuangalia mieleka.hadi raha
========
Wale wagonjwa kumi wa ukoma waliomwendea YESU awaponye, wote waliponywa,kwa hiyo hata hao wengine wenye experienceskama wangeingia kwa hiyo interview kwa kuliitia jina la YESU wote wangepata kazi,huwa anafanya mambo juu ya kawaida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.