TBC: Kwa hili mnapotoka

TBC: Kwa hili mnapotoka

TBC?
Ipi?
Ile ya udaku na taarabu?
Ile ya chama cha wakoloni wazawa?
Dingi yangu ni Miongoni mwa magamba lakini katu hawezi kuangalia Tbccm.
INAKUAJE UNAANGALIA TBC?
Huna kazi ya kufanya?
Ni bora ulale kuliko kuicheki hii tv.

Mwambie aniige mimi,huwa naiangalia huku nimeshika remote mkononi,tatizo zuku hawana local chanel zaid ya tbc na ch 10,wakiweka zile habari zao huyooo qtv kuangalia mieleka.hadi raha
 
Halafu habari zenyewe zote zinamhusu Nappe tu.!
 
TBC?
Ipi?
Ile ya udaku na taarabu?
Ile ya chama cha wakoloni wazawa?
Dingi yangu ni Miongoni mwa magamba lakini katu hawezi kuangalia Tbccm.
INAKUAJE UNAANGALIA TBC?
Huna kazi ya kufanya?
Ni bora ulale kuliko kuicheki hii tv.

Mwambie aniige mimi,huwa naiangalia huku nimeshika remote mkononi,tatizo zuku hawana local chanel zaid ya tbc na ch 10,wakiweka zile habari zao huyooo qtv kuangalia mieleka.hadi raha
 
Itarudishwa kundini 2015 kwa kuwatimua na kuwapeleka mahakamani watendaji kwa kosa la kusaidia ufisadi
 
bora niangalie katuni kuliko tbc

Wengi wenu humu manaoiponda TBC ni wanafiki na wazandiki tena ni waongo wakubwa,hivi mtu mwenye akili timamu kichwani na walao umesoma hata elimu ya darasa la nne unaweza kuacha kuangalia tv fulani eti kwa sababu ya chadema au ccm,ina maana hizi tv kutwa kucha hawana vipindi vingine isipokuwa upuuzi wenu wa siasa,tuache kuwa wendawazimu,wakionesha mpira huangalii,walewale wanaoipinga nakujidai huwa hawaangalii ndio walikuwa namba moja kueleza yaliyotokea Bungeni mpak fujo zikatokea je habari ile mliitoa wapi kama sio tbc,Bunge linaanza wiki ijayo utaangalia wapi au utategemea habari za udaku.sipendi watu wasomi kujadili vitu kijingjinga utadhani walevi.Hivi hii nchi watu hatuna la kufanya kutwa kucha ni kujadili tu mara chadema ooh magamba.Kwani hata vyombo vyote vikiandika habari za chadema so what kwani ndi mahitaji ya wananchi,mimi kila nikiangalia taarifa za habari moja au mbili ndio huwa zina kuwa za kisiasa lakini zilizobaki ni za kijamii na matukio.Na mimi ni lazima nione habari kutoka tv zote ch.10,itv,star tv na tbc maana habari ni mchanganyiko na wakati mwingine habari ileile namna ya kuipresent ni tofauti na ni faida kwangu.Eti siangalii tbc so what?MWISHO KAMA TUNA AKILI KWELI BASI NI LAZIMA UELEWE KUWA NINI MAANA YA TELEVISHENI YA TAIFA AU STATE TV KWENYE NCHI YEYOTE HAIWEZI KAMWE KUWA AGAINST SERIKALI.EBU FIKIRIA DR,SLAA ANAKUWA RAIS 2015 TBC ITAENDESHA AU KUWEKA HABARI ZA KUMPINGA AU CHADEMA WAKATI HUO WARUHUSU TBC ITOE HABARI ZINAZIPINGANA NA SERIKALI?INAMAANA ITAKUWA INATANGAZA MAPINDUZI DHIDI YA SERIKALI. NATUMAINI WENYE HEKIMA WAMENIELEWA.NCHI NI MIMI NA WEWE.TANZANIA JINA.
 
Asalaaam wana jammvi:Leo asubuhi ktk jambo kwenye kipengele cha kusoma magazeti,TBC na mtangazaji wao ameonekana akiwa na magazeti ma3 tu,yaani JAMBO LEO,MTANZANIA na UHURU,na magazeti haya yana vichwa vya habari vya kukishambulia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA),huku msomaji akisoma kiushabiki na akidai magazeti mengine kama nipashe,rai,mwananchi hayajafika,najiuliza inawezekana vp kwa kituo cha Star tv kuyapta magazeti yote ya leo saa 12 alfajili?alafu TBC saa 01:30 asubuhi waseme hayajafika kama si fitna dhidi ya CHADEMA?na kibaya mkitumia kodi zetu sisi walala hoi,huu ni upuuzi
Pole sana mkuu, achana na hiyo TV station uchwara, wacha wale kodi zetu 2015 watazirudisha, kazi kuonyesha cheleko upuuzzzzzmtupu!
 
wana mgogoro
wanaingiliwa na serikali
hawana uhuru wa kufanya kwa mujibu ya taaluma yao.
ngoma inogile
magazeti yalikuwepo sana tu yemewekwa kando na mkurugenzi ili kulinda kibarua chao
uwe unasikiliza magezeti uchambuzi radio maria tanzania au radio zingine ambazo hazina mrengo wa kisiasa
kama leo wamesoma vema gazeti la Nipashe kuhusu habari ya Lissu akilishutumu usalama wa taifa nk..
 
Hivi matibisisiem bado yapo??nakushauri Asha anza kutafuta pa kusepea maana tunakuja soon kudai kodi zetu na hakika tutang'oa mpaka bolt ya mwisho tuondoke nayo!!!!
Wanafiki wakubwa sana....shame on you magamba's vibaraka!!!
 
Ndio maana mimi na tune Tbc umeme ukikatika tu, yaani nimesahau hata taarifa ya habari yao inakua saa ngapi.
 
kwanini mnapata muda wa kuangalia tbc? Si bora muda huo mvuteni zenu bangi......
 
Back
Top Bottom