Wamejipangaje dhidi ya wizi wa kura? Coz siku Hz ''chuma ulete'' hadi kwny kura yaani mnapigiwa kura nyng halafu wanashinda wengine. Hilo wanalijuwa chadema? Au ni kelele za chura zisizomzuia ng'ombe kunywa maji?
Tatizo la wabongo ndio hili;kujifanya kujua kila kitu.takeni kuelewa kila kitu na siyo kujua kila kitu.subirin mradi ukamilike thn mwongee sasa hivi ni mapema mno
asilimia kubwa ya watoto wa mitaani wanatokea huko.kuoa rahisi kutunza majanga.ss hapana bana!!mungu wetu ss hataki huo uchafu.angetaka hivyo angempa adamu mke zaidi ya mmoja bustanini
Hizo ni rasharasha tu sasa subirini ujio wa masiya yesu kristo mungu wa kweli ndio mtamjua ni nani siku hiyo.mtakapoona anga linapasuka mawe yanazungumza mvua inanyesha kutoka chini kwenda juu,mchana kunakuwa usiku yaani spati picha itakuwaje hasa kwa ninyi msiomkubali mtaomba ardhi ifunguke...
Asilimia kubwa ya vyombo vya habari tz ni vya watu binafsi na vinaendeshwa kwa hela za matagazo kwahiyo wanafikiria maslahi zaidi hasa kwny matangazo.sasa kuwaambia watumie masaa 12 hela haingii.siku hizi pesa mbele utu nyuma.tbc wanapata ruzuku serikalini ila hawajali taifa lao ni wazembe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.