Msaada tafadhali, anataka kuniroga

Msaada tafadhali, anataka kuniroga

Ujitokeze au hapana it is all the same!akikuroga kweli umekwisha ukijitokeza kisago unacho kwa hiyo kaa kimya subiri matokeo ya dhambi-huwa ni mauti anyway!
 
Jana jirani yangu mwanamke kaniita ndani kwake nimrekebishie tv yakenikaenda kweli nikamrekebishia nimemaliza nataka kuondoka akanizuia akaachia khanga yake hukundani hajavaa kitu na baridi hili tukaanza kuburudika wakati tunaburudika mumewe akagonga mlango harakaharaka nikajificha yule mwanamke akamfungulia mlango mwanaume akapitiliza mojakwa moja chooni nikavaa fasta nikakimbia kumbe niliisahau boxer yangu kwa kuwa kwetu uswazi leo naamka naona ile boxer kaianika na tangazo juu "mwenye hii boxer ajitokeze asipojitokeza baada ya sikutatu namroga" hapa sina raha kabisa na baadhi ya marafiki wangu wanaijua kwa kuwanavaaga mlegezo sijui nijitokeze au ningoje kurogwa

Ulishakubali endelea kukubali! Ungetushiriksha wakat bado hujamla mke mtu;ningekupa akili! Kwa sasa mwamin Yesu akuokoe utaepuka uchaw na uganga vngnevo mmmmhh!
 
hakuna atakae kuroga usiwe na imani haba huyo anakutia wasiwasi tu
 
Jana jirani yangu mwanamke kaniita ndani kwake nimrekebishie tv yakenikaenda kweli nikamrekebishia nimemaliza nataka kuondoka akanizuia akaachia khanga yake hukundani hajavaa kitu na baridi hili tukaanza kuburudika wakati tunaburudika mumewe akagonga mlango harakaharaka nikajificha yule mwanamke akamfungulia mlango mwanaume akapitiliza mojakwa moja chooni nikavaa fasta nikakimbia kumbe niliisahau boxer yangu kwa kuwa kwetu uswazi leo naamka naona ile boxer kaianika na tangazo juu "mwenye hii boxer ajitokeze asipojitokeza baada ya sikutatu namroga" hapa sina raha kabisa na baadhi ya marafiki wangu wanaijua kwa kuwanavaaga mlegezo sijui nijitokeze au ningoje kurogwa

Hasara kwa mzazi wako maana shule uliishia darasa la nne, ulipojua kusoma ukaacha shule, bahati mbaya hujui kuandika. Bado unavaa mlegezo, kwako wewe mwanamke akivulia khanga maana yake ni kuburudika?!
Pole sana.
 
Hasara kwa mzazi wako maana shule uliishia darasa la nne, ulipojua kusoma ukaacha shule, bahati mbaya hujui kuandika. Bado unavaa mlegezo, kwako wewe mwanamke akivulia khanga maana yake ni kuburudika?!
Pole sana.

ujana maji ya moto
 
Kama unatumia bange na viroba hulogeki. We endelea kutengeneza tv na kumtafunia mke wake.
 
kumbe ndiyo maana akili zako ni matope, umepatia kabsa hakuna mtu anayependa na kufatilia muziki wa hiphop asiweze kuvaa kata "k". kumbe wewe ni mkata kiuno nigekuwa mchawi nigemsaidia huyo baba akuronge! lara 1 ushawahi kuiona hii ya mubabe wako.
 
Last edited by a moderator:
kumbe ndiyo maana akili zako ni matope, umepatia kabsa hakuna mtu anayependa na kufatilia muziki wa hiphop asiweze kuvaa kata "k". kumbe wewe ni mkata kiuno nigekuwa mchawi nigemsaidia huyo baba akuronge! lara 1 ushawahi kuiona hii ya mubabe wako.

HAHAHAAAAAAAAAA! Naona ulini miss. Usinichonganishe na MO11 nishaambiwa nisimtangazie biashara yake na wateja wake. Mwenzio ana soko hajadoda kama wewe mfuga ngombe!
 
Haka kastori nilikatunga tu
 
Yani we unatengeneza tv then unapata kishawishi kidogo tu unaanguka dhambini, we una mapepo pamoja na huyo mwanamke. Hakika unastahili adhabu kali sana kwa kuwa umekili kosa.
 
Back
Top Bottom