TV za Kenya ni za Kizalendo

TV za Kenya ni za Kizalendo

Huo ni mtazamo wako tu Lakini waKenya hadi hii leo waQUESTION Big Suali " Vipi hao vijana waliweza kuingia na SILAHA NZITO ndani ya MOYO wa NBR haswa ndani ya soko la WESTGATE na kupitisha, kupandisha gorofaniii? Zikaweza kudumu for 3 to 4 days ? !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! TV ni changa la macho..... open your eyes not your MOUTH.

Ukistaajabu ya Kenya utaona ya Tanzania. Roli labeba wahamiaji haramu mpaka katikati ya nchi bila kugundulika. Bomu lapigwa mkutanoni yapuuzwa kwa kusema wamejilipua. Na vipi kuhusu TBC kuonesha ndombolo wakati meli ya zanzibar ikiwa imezama. Angalau wakenya kama nchi na taifa hawana kiwango cha upuuzi wetu hasa serikali yetu
 
Asilimia kubwa ya vyombo vya habari tz ni vya watu binafsi na vinaendeshwa kwa hela za matagazo kwahiyo wanafikiria maslahi zaidi hasa kwny matangazo.sasa kuwaambia watumie masaa 12 hela haingii.siku hizi pesa mbele utu nyuma.tbc wanapata ruzuku serikalini ila hawajali taifa lao ni wazembe hawaboreshi huduma zao wapowapo tu
 
Tv zetu matukio ya dharula wanarekod ya siasa Live
 
Ninatumia king'amuzi cha Zuku, ambacho kifurushi nilicholipia kinaniwezesha kuona Citizen TV,QTV Kenya, na NTV. Tunafahamu kuwa Kenya wana janga la uvamizi wa Westgate Mall. Jambo lililonistaajabisha ni Uzalendo wa vituo hivi vya TV kuripoti janga hili kwa muda wa masaa zaidi ya 12 wakiwa live. Pia wameweza kuwahamasisha maelfu ya wakenya kuchangia damu kwa majeruhi wa shambulio. Hii ni tofauti sana kwa TV zetu za kibongo ambazo hazitoi taarifa kwa majanga ya dharura kama mafuriko, nk live. Wao kutwa kupiga bongo fleva na taarabu...!

na KBC je?
 
Tuwe wazalendo na zaidi ya yote tupende ukweli,mbona ITV wametumia muda mrefu zaidi ya masaa kumi kuonyesha chanel ya Citizen Tv baada ya saa nne usiku mpaka asubuhi mpaka wanawacha vipindi vingine vya asubuhi.
 
Ninatumia king'amuzi cha Zuku, ambacho kifurushi nilicholipia kinaniwezesha kuona Citizen TV,QTV Kenya, na NTV. Tunafahamu kuwa Kenya wana janga la uvamizi wa Westgate Mall. Jambo lililonistaajabisha ni Uzalendo wa vituo hivi vya TV kuripoti janga hili kwa muda wa masaa zaidi ya 12 wakiwa live. Pia wameweza kuwahamasisha maelfu ya wakenya kuchangia damu kwa majeruhi wa shambulio. Hii ni tofauti sana kwa TV zetu za kibongo ambazo hazitoi taarifa kwa majanga ya dharura kama mafuriko, nk live. Wao kutwa kupiga bongo fleva na taarabu...!
mdau janga la mafuriko dar mwishon mwa 2011 na mwanzoni mwa 2012,walijitahidi sana kuonesha na kuelezea,,,tena sana,
labda ulikua bado hujaanza kumiliki SET YA TV
 
Ukistaajabu ya Kenya utaona ya Tanzania. Roli labeba wahamiaji haramu mpaka katikati ya nchi bila kugundulika. Bomu lapigwa mkutanoni yapuuzwa kwa kusema wamejilipua. Na vipi kuhusu TBC kuonesha ndombolo wakati meli ya zanzibar ikiwa imezama. Angalau wakenya kama nchi na taifa hawana kiwango cha upuuzi wetu hasa serikali yetu

kweli mkuu inasikitisha...Tujifunze kwenye makosa ya wenzetu, Na somo huwaga mara moja "ukirepeat inakuwa hatari"
Pole kwa majirani zetu nasi tuweALERT kwa yajayo.
Blessings.
 
Back
Top Bottom