life is Short
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 4,741
- 3,037
Umekurupuka tu, Utoto ulonawo huwezi kulinganisha kati ya mlipa kodi mwenye manufaa na Taifa na Kati ya waharibifu mali ya umma baina yao wewe ni mmoja wao hamupenfi taifa lisonge mbele.... Mupo tayari kusimamisha gurudumu la maendeleo ilimradi muanzishe umbea na vijiwe vya kukwamisha kazi.Unataka kusema bwana ridhiwani works hard?u must be out of yo mind kwakweli
Source ya nchi hii yote imekuja from free of charge bases!!