Huyu Ridhiwani ninani???

Huyu Ridhiwani ninani???

Status
Not open for further replies.
Unataka kusema bwana ridhiwani works hard?u must be out of yo mind kwakweli
Umekurupuka tu, Utoto ulonawo huwezi kulinganisha kati ya mlipa kodi mwenye manufaa na Taifa na Kati ya waharibifu mali ya umma baina yao wewe ni mmoja wao hamupenfi taifa lisonge mbele.... Mupo tayari kusimamisha gurudumu la maendeleo ilimradi muanzishe umbea na vijiwe vya kukwamisha kazi.
Source ya nchi hii yote imekuja from free of charge bases!!
 
Acheni kumsakama ridh1 km vile hastahili kuwekeza au kufanya biashara au jambo lolote la kimaendeleo.Km mna ushahidi wa ufisadi au ubadhirifu wowote alioufanya semeni lkn wote hapa ni wivu tu ndo unawasumbua, ridh1 ni mtu safi na hana kashfa yoyote ya ubadhirifu au ufisadi wowote wa mali ya umma. Mbona hao mnaowaona km wakombozi wenu wana majumba ya kifahari huko uarabuni na nchi zingine na wanatuhumiwa waziwazi na washirika wao wa karibu kwa ubadhirifu na ufisadi mkubwa, hayo hamuyaoni na wala hamuyasemi, RIDH1 C FISADI NA HATOKUWA FISADI KAMWE KAMA ALIVO FISADI MBOWE !
 
Umekurupuka tu, Utoto ulonawo huwezi kulinganisha kati ya mlipa kodi mwenye manufaa na Taifa na Kati ya waharibifu mali ya umma baina yao wewe ni mmoja wao hamupenfi taifa lisonge mbele.... Mupo tayari kusimamisha gurudumu la maendeleo ilimradi muanzishe umbea na vijiwe vya kukwamisha kazi.
Source ya nchi hii yote imekuja from free of charge bases!!

So watu kumsema au kumdiscuss rizimoja how the guy is getting billions ni kusimamisha gurudumu la MA ndeleo?duuu Kali nayo
 
So watu kumsema au kumdiscuss rizimoja how the guy is getting billions ni kusimamisha gurudumu la MA ndeleo?duuu Kali nayo

We always twatakiwa kushindana ilitupande kiuchumi !! Tudiscuss mbinu za uzalishaji mazao,umeme,biashara za ndani,nje NK... Samahani kwa sintomhusu ! 3 group of pple.... Few people talk of new inventions, little people talk of new products in the market but many people talk of other people !! Mimi na wewe tuwe katika kundi la kwanza talking of new invents.
Good Luck and god Bless you and others.
 
Ridhiwani no mwanasheria mahiri hapa nchini nafikiri chili nijibu sahihi kwa mtazamo wangu.
 
ridhiwani wapo wengi hata hapa jf yupo na mwingine ni mtoto jakaya. Mtaani kwangu pia yupo riz1 yeye anaziba pancha baiskeri. Huliza vizuri watakwambia tu ni riz yupi huyo

hivi huyu Ritz wa hapa JF sio ndio mtoto wa Jah Kaya mwenyewe bro???,manake naonaga ikipondwa CCM huwa anajibu kwa mijazba kweli kama vile ameguswa yeye vile hali inayonipelekea mimi kuhisi ndio yule kaka yake miraji
 
Last edited by a moderator:
wewe unamjua rizi yupi?? niujinga kamatutaendelea kushabikia watu wanma hii,, badala ya kuhoji, wewe ukinyamaza leao watoto wako watakuuliza kesho na nilazima uwape majibu

We dogo Butundwe,umaskini na ujinga wako ndo unakusumbua mpaka macho yako yamepata kiiiza,hasira zimekutawala,sasa wewe kama kazi yako ni kutembelea jamaa na marsfiki zako kwa ajili yankupata malazi na chakula unadhani ni lini utapata hata kijumba cha shilingi milioni 50?!jinga wewe badilika!
 
Last edited by a moderator:
riz one mtoto KIWETE AU MTOTO WA BABU YANGU KULE NYAKANAZI KIGOMA KUDADEK 2016 TNAWAPOKA VYOTE HVYO MTAJUA 2 NINYI KNA KIWETE
 
Watanzania wajinga kweli, zamani ilikuwa kila kitu kikubwa ni cha "kizungu", sasa kwa ule ule umbumbumbu ni cha "Rais" au "mtoto wa Rais".

Hivi kwa upuuzi kama huu mnategemea mtaendelea? mimi nasema "mawee".

Badala ya kutwa kukaa kusifia vya wanaume wenzenu na nyinyi ingieni wivu wa kufanya si kusengenya, wasengenyaji wakubwa nyie.

Tatizo lingine ni kwamba,hizi ni tetesi tu,bado hakuna uhakika wa ukweli wa yanayosemwa.
 
Watanzania wajinga kweli, zamani ilikuwa kila kitu kikubwa ni cha "kizungu", sasa kwa ule ule umbumbumbu ni cha "Rais" au "mtoto wa Rais".

Hivi kwa upuuzi kama huu mnategemea mtaendelea? mimi nasema "mawee".

Badala ya kutwa kukaa kusifia vya wanaume wenzenu na nyinyi ingieni wivu wa kufanya si kusengenya, wasengenyaji wakubwa nyie.

hivi wewe unatoka nchi gani naomba nijue maana umesema watanzania wajinga isije kuwa mama, baba, kaka, mchumba wako ni watanzania utawakosea heshima kwa kweli na kumbuka mpaka hapa kikwete, Membe, Nape wote wajinga maana ni watanzani
 
Wacha upunguani. Hiyo TAKUKURU imepewa meno na Kikwete, walikuwa na uwezo wa kuchunguza mawaziri au mawaziri wa zamani? wakati wa Kikwete tumeona mpaka kina Mramba wakifungwa. Upo hapo ulipo.

Na wakikutikana na hatia kesi ni mahakamani. Hilo la kufikishwa tu TAKUKURU ni hatua moja nzuri sana na Serikali ya Kikwete inabidi isifiwe.

faizza acha kukimbilia kucomment, soma na utafakari kilichoandikwa kisha fanya rejea ya matukio ya kufukuzwa uwaziri waliotajwa na Burton. Nikusashihishe pia, mramba hajafungwa kwani kesi bado inasikilizwa.
Kuhusu takukuru, ni kweli haijawahi kupewa meno kwani baada ya kupeleleza haishtaki hadi ipate kibali toka kwa haohao walinda maslahi ya wakubwa dpp!
Mkuu wa nchi abadilike namna ya kuwekeza yasije yakamkuta ya mubarak na gadafi kwani hawakutarajia kama yangetokea!
Unapoiba ulichokabidhiwa kukilinda usimfanye mwenye mali akakustukia kwani balaa lake si dogo! Ritz1 watu wanakuchora so change your investment style ili usiwakere. Ni ushauri tu.
 
Tatizo si kwamba eti ridhwani hatakiwi kumiliki mali,swali ni kwamba amepata wapi mali zote zile ktk umri wake mdogo ule,ndiyo ana haki ya kuwa bilionea kama anajituma kufanya kazi kwa bidii,swali wapi alikotoa mali zote hizo kwa muda mfupi tu? Lisemwalo lipo,hakuna anayemuonea wivu,aonewe wivu ili iweje?
 
Watanzania wajinga kweli, zamani ilikuwa kila kitu kikubwa ni cha "kizungu", sasa kwa ule ule umbumbumbu ni cha "Rais" au "mtoto wa Rais".

Hivi kwa upuuzi kama huu mnategemea mtaendelea? mimi nasema "mawee".

Badala ya kutwa kukaa kusifia vya wanaume wenzenu na nyinyi ingieni wivu wa kufanya si kusengenya, wasengenyaji wakubwa nyie.

Hizi habar ziwe ni za kweli au si za kweli, huna haja ya kupayuka hivi, huwezi kudhibitisha kwa lolote hapo. Linda utu na heshima yako. Unapayuka kwa watu wasiojitaja majina yao, hapo nani mjinga sasa!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom