Recent content by rolla

  1. R

    True Story: Nimefanya ngono zembe na binti mwenye VVU, Leo siku ya 28 toka tukio. Nina stress ya hali ya juu. Nahitaji kupata neno la tumaini

    Nilitoboaaa na mda umepita. Lakini tangia hapo sikosi box la kona na box la vipimo. Just in case.
  2. R

    Serikali imechelewa kulipa mshahara wa mwezi Mei

    Umejuaje kama ni walimu?
  3. R

    SoC03 Ujasiriamali - Siri ya Kujikomboa Kiuchumi

    Nimeipenda safi sana kwa kutukumbusha
  4. R

    Tabia 5 zinazoweza kumfanya mwanaume abakie masikini milele

    Hongera.....[emoji16][emoji16][emoji16]
  5. R

    Jina la Mtoto wa Kike la Kihaya

    Kama ni jina lake la ukweli, sio vizuri: remember those good old times. Huyu anaweza kuwa mama wa watoto, mke wa mtu, mfanyakazi sehemu etc. Plse be a gentleman.
  6. R

    Wanawake Wenye Hivi Vitumbo Chukueni Maua Yenu

    Si ndo hapo. Binafsi naona haina shida. Kuzaa mbona jambo zuri tu. Single moms are as good as anybody. Wengi wao ni mature. Ni rahisi kuelewana kwenye mambo mengi ya maisha. Cha msingi play your part na support pale inapobidi within your means.
  7. R

    SoC03 Njia duni za utunzaji wa fedha ndio chanzo cha umaskini kwenye jamii zetu. Tuziepuke!

    Sina majibu. Anyway nikutakie kazi njema na Mungu akubariki.
  8. R

    SoC03 Njia duni za utunzaji wa fedha ndio chanzo cha umaskini kwenye jamii zetu. Tuziepuke!

    Hii inchi ina safari ndefu kama kulalamiko ndo huko? Ungesema jukwaa gani linatembelewa kwa wingi na kwa nini? Na kwa nini jingine alitembelewi ungekuwa umeongeza tija. Otherwise zero.
  9. R

    SoC03 Njia duni za utunzaji wa fedha ndio chanzo cha umaskini kwenye jamii zetu. Tuziepuke!

    Post mzuri na elimishi lakini haitapata wachangiaji maana haihusu mapenzi wala yanga na simba au umbea wa mjini.
  10. R

    Dodoma: NEMC yazifungia Rainbow na Chako ni Chako kwa kupiga kelele

    Waende na roya na capital na platinam
  11. R

    Dodoma: NEMC yazifungia Rainbow na Chako ni Chako kwa kupiga kelele

    Nadhan target ni rainbow. Wanamziki mzuri sana.
Back
Top Bottom