KERATO MOMBAA
JF-Expert Member
- Feb 4, 2025
- 4,388
- 5,901
😂😂 picha ya hayo matikitiki nane tafadhali
😂😂 picha ya hayo matikitiki nane tafadhali
inalipa sana mim hununua kwa mkulima moja kwa moja.Nafaka inalipa???
Ukirudi tena utafanikiwaNilifanya huu upuuzi. Walinishawishi mafala flani training kule Makumbusho. Nilikua nikilala naiona Harrier nyeusi. Aisee nilipigwa za shingo.
Biashara ni rahisi ikizungumzwa mdomoni lakini shughuli yake Anza kuifanyaUna mtaji wa laki 2 mpaka million 2?
Hizi ni biashara ambazo unaweza ukafanya na zikakupa uhakika wa faida ya TSH 30,000_ laki kwa siku(1_3M kwa mwezi)
Wakati mwingine biashara nzuri sio Ile inayoonekana ya kifahari sana na decorations nzuri
Biashara ni mizunguko,faida💵.
Hizi biashara Zina foleni ya wateja na sio lazima uwekeze kwenye decorations Kali
-Tuna Anza na Biashara za kifedha
(Mawakala wa mitandao ya simu na benk)
-Biashara ya vifaa vya simu(phone accessories)cover, protector, earphones,,USB,nk....
-saloon ya kiume(local) utaanza na machine ya kunyolea na viti viwili,Kila mteja atalipia TSH 1000_5000
-Biashara ya genge
-Biashara ya Juice
-Biashara ya matunda
-Biashara ya vifungashio
-Biashara ya urembo wa kike kama hereni ,cheni, bracelet,Pete,shanga nk...
-Nguo za ndani za kike
-Biashara ya vinywaji
-Biashara ya chakula
-Saloon ya wanawake
-Biashara ya nguo na viatu vya mitumba
-Biashara ya Nafaka,UNGA,Michele,maharage,mafuta ya kula,,frem iwe sehemu ya makazi ya watu
-Biashara ya kuchoma kuku na ndizi mjini
-Biashara ya Dagaa
-Biashara ya samaki
-Biashara ya Chips
-Saloon dreadlocks
-Biashara ya sandels
-Spare za pikipiki
-Duka la mangi,,umakini muhimu
-Duka la dawa muhimu,pata location nzuri
Biashara Gani kati hizi unadhani ni nzuri zaidi kwako hasa kwa kuangalia na location ulipo, mtaji na uwezo wako wa kutafuta wateja na kusimamia biashara?
Usikae kizembe
Na bora uanze na changamoto ikupasue kichwa ili uje ule kiulaini mbeleniBiashara ni rahisi ikizungumzwa mdomoni lakini shughuli yake Anza kuifanya
Nikiwa na milioni 3 nitaambulia kitu.inalipa sana mim hununua kwa mkulima moja kwa moja.
sana, unaweza kununua mahindi na kuuza kwa mzunguko, au ununue mpunga wakat wa mavuno na kuweka store ndo kuna faida ila ukinunua na kukoboa hapohapo mpunga ni sawa na kubeti. Pata poteza.Nikiwa na milioni 3 nitaambulia kitu.
😂 Harrier new model.Nilifanya huu upuuzi. Walinishawishi mafala flani training kule Makumbusho. Nilikua nikilala naiona Harrier nyeusi. Aisee nilipigwa za shingo.
Nyingi sana iyo msimu ndio huu ushindwe wewe tu.Nikiwa na milioni 3 nitaambulia kitu.
Hahaha........!,naendelea kujifinza🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂 🖐🤚 🖐🤚 🖐🤚😂😂 picha ya hayo matikitiki nane tafadhali
Haya saidia fundi acheni kuangaika na kazi za nguvu chukueni wazo hapo mfanye biashara.Una mtaji wa laki 2 mpaka million 2?
Hizi ni biashara ambazo unaweza ukafanya na zikakupa uhakika wa faida ya TSH 30,000_ laki kwa siku(1_3M kwa mwezi)
Wakati mwingine biashara nzuri sio Ile inayoonekana ya kifahari sana na decorations nzuri
Biashara ni mizunguko,faida💵.
Hizi biashara Zina foleni ya wateja na sio lazima uwekeze kwenye decorations Kali
-Tuna Anza na Biashara za kifedha
(Mawakala wa mitandao ya simu na benk)
-Biashara ya vifaa vya simu(phone accessories)cover, protector, earphones,,USB,nk....
-saloon ya kiume(local) utaanza na machine ya kunyolea na viti viwili,Kila mteja atalipia TSH 1000_5000
-Biashara ya genge
-Biashara ya Juice
-Biashara ya matunda
-Biashara ya vifungashio
-Biashara ya urembo wa kike kama hereni ,cheni, bracelet,Pete,shanga nk...
-Nguo za ndani za kike
-Biashara ya vinywaji
-Biashara ya chakula
-Saloon ya wanawake
-Biashara ya nguo na viatu vya mitumba
-Biashara ya Nafaka,UNGA,Michele,maharage,mafuta ya kula,,frem iwe sehemu ya makazi ya watu
-Biashara ya kuchoma kuku na ndizi mjini
-Biashara ya Dagaa
-Biashara ya samaki
-Biashara ya Chips
-Saloon dreadlocks
-Biashara ya sandels
-Spare za pikipiki
-Duka la mangi,,umakini muhimu
-Duka la dawa muhimu,pata location nzuri
Biashara Gani kati hizi unadhani ni nzuri zaidi kwako hasa kwa kuangalia na location ulipo, mtaji na uwezo wako wa kutafuta wateja na kusimamia biashara?
Usikae kizembe
Umenena vyema.Hizo ni baadhi ya biashara nzuri kwa wenye vipato vya chini.Sasa watu licha ya kuwaorodheshea aina ya boashara wanataka uwaeleze namna ya kuzifanya!.Biashara ni ubunifu ili umpiku mwenzako mwenye biashara sawa na yako.Una mtaji wa laki 2 mpaka million 2?
Hizi ni biashara ambazo unaweza ukafanya na zikakupa uhakika wa faida ya TSH 30,000_ laki kwa siku(1_3M kwa mwezi)
Wakati mwingine biashara nzuri sio Ile inayoonekana ya kifahari sana na decorations nzuri
Biashara ni mizunguko,faida💵.
Hizi biashara Zina foleni ya wateja na sio lazima uwekeze kwenye decorations Kali
-Tuna Anza na Biashara za kifedha
(Mawakala wa mitandao ya simu na benk)
-Biashara ya vifaa vya simu(phone accessories)cover, protector, earphones,,USB,nk....
-saloon ya kiume(local) utaanza na machine ya kunyolea na viti viwili,Kila mteja atalipia TSH 1000_5000
-Biashara ya genge
-Biashara ya Juice
-Biashara ya matunda
-Biashara ya vifungashio
-Biashara ya urembo wa kike kama hereni ,cheni, bracelet,Pete,shanga nk...
-Nguo za ndani za kike
-Biashara ya vinywaji
-Biashara ya chakula
-Saloon ya wanawake
-Biashara ya nguo na viatu vya mitumba
-Biashara ya Nafaka,UNGA,Michele,maharage,mafuta ya kula,,frem iwe sehemu ya makazi ya watu
-Biashara ya kuchoma kuku na ndizi mjini
-Biashara ya Dagaa
-Biashara ya samaki
-Biashara ya Chips
-Saloon dreadlocks
-Biashara ya sandels
-Spare za pikipiki
-Duka la mangi,,umakini muhimu
-Duka la dawa muhimu,pata location nzuri
Biashara Gani kati hizi unadhani ni nzuri zaidi kwako hasa kwa kuangalia na location ulipo, mtaji na uwezo wako wa kutafuta wateja na kusimamia biashara?
Usikae kizembe
Biashara ya kukaanga mahindi bisi kwa ajili ya popcorn,,je hii waionaje mkuu au mwaionaje?Una mtaji wa laki 2 mpaka million 2?
Hizi ni biashara ambazo unaweza ukafanya na zikakupa uhakika wa faida ya TSH 30,000_ laki kwa siku(1_3M kwa mwezi)
Wakati mwingine biashara nzuri sio Ile inayoonekana ya kifahari sana na decorations nzuri
Biashara ni mizunguko,faida💵.
Hizi biashara Zina foleni ya wateja na sio lazima uwekeze kwenye decorations Kali
-Tuna Anza na Biashara za kifedha
(Mawakala wa mitandao ya simu na benk)
-Biashara ya vifaa vya simu(phone accessories)cover, protector, earphones,,USB,nk....
-saloon ya kiume(local) utaanza na machine ya kunyolea na viti viwili,Kila mteja atalipia TSH 1000_5000
-Biashara ya genge
-Biashara ya Juice
-Biashara ya matunda
-Biashara ya vifungashio
-Biashara ya urembo wa kike kama hereni ,cheni, bracelet,Pete,shanga nk...
-Nguo za ndani za kike
-Biashara ya vinywaji
-Biashara ya chakula
-Saloon ya wanawake
-Biashara ya nguo na viatu vya mitumba
-Biashara ya Nafaka,UNGA,Michele,maharage,mafuta ya kula,,frem iwe sehemu ya makazi ya watu
-Biashara ya kuchoma kuku na ndizi mjini
-Biashara ya Dagaa
-Biashara ya samaki
-Biashara ya Chips
-Saloon dreadlocks
-Biashara ya sandels
-Spare za pikipiki
-Duka la mangi,,umakini muhimu
-Duka la dawa muhimu,pata location nzuri
Biashara Gani kati hizi unadhani ni nzuri zaidi kwako hasa kwa kuangalia na location ulipo, mtaji na uwezo wako wa kutafuta wateja na kusimamia biashara?
Usikae kizembe
Umenichekesha na hurrier nyeusi. Kuna mwaka mwaka nilikuwa naona hilux. Niliishia kununua Suzuki carry. Nikarudi Tena na Tena atimaye 01.04 ndoto ikatimia Sasa naanza safari ya canter. Aruta continuaNilifanya huu upuuzi. Walinishawishi mafala flani training kule Makumbusho. Nilikua nikilala naiona Harrier nyeusi. Aisee nilipigwa za shingo.
umepiga kwenye mshonosio rahisi kama unavyosema....nilifanya biashara nyingi kwa ubunifu..nilikuja kujua watuy wanaubeba ubunifu huo na kukubana wewe...vyote utakavyoanzisha jua kuna mafala hawajui cha kufanya mpaka uanze na upate faida wanakuja na kuvuruga....**** unaweza kufanya miradi kama ufugaji wa kitimoto ngombe wa maziwa kukuw wa nyama na mayai...hio ndio kazi yenye demand kubwa na utulivu..lakini hii ya kununua bidhaa na kuuza bidhaa...asikuambie mtu sio kazi mpakauipate siri ya hio biashara... hata kuuza tairi za gari(unaweza kukuta faida ipo kwenye kuuza tairi za wizi au zilizookotwa)au za magendo unashangaa mbona sisogei kumbe umeiga mfumo hujaujua