Recent content by robhil mfwegekamo

  1. robhil mfwegekamo

    Jibu kwa Hussein Bashe na Zitto Kabwe wanaong'ang'ania SGR kupitia Kigoma hadi Burundi

    Tatizo reli inaweza ikanichochea kuongea kama nina masirahi hasa upande wa chama chngu mbali na hivyo zitto na bashe wasikilizwe tu.
  2. robhil mfwegekamo

    Watanzania tunadanganyika haraka sana

    mfano kama mayai ya kwale na kwa babu loliondo hata mwaziri 1alikuwa na ndg yake aliyefuga kwale, alizungumzia kumbe amefuga kwale na mayai anayo hana kwa kuyapeleka l. hawa wanaojiita wasomi kumbe mh. na kuna rais naye aligida kikombe na baadhi ya watu na wasomi wengi tu .mi mwenyewe niko hapa...
  3. robhil mfwegekamo

    Rais kushindwa kutumia gari la wazi leo Dodoma ni ishara kuwa hatuko salama au ametishwa?

    Tena kuna kalai liko huko ccm liliambulia kamnuso wa t.1.5 nahisi ndio wana wasiwasi naye kwa sababi inaonyesha hawjamalizia mnuso wake . katabi.
  4. robhil mfwegekamo

    CCM Ijitenge na Cyprian Musiba

    musiba ni msiba wa taifa na ni hatari sana
  5. robhil mfwegekamo

    Vijiwe vya kahawa /draft /bodaboda /karata ni makao ya watu wa TISS

    mpaka kwenye vijiwe vya kifyatua tofali mkuu huwa wanakuja saana ila cc kijiwe chetu hatutaki wageni
  6. robhil mfwegekamo

    Msaada: Gharama za nyumba ya vyumba viwili

    hii nyumba hata matombo ipo ila sielewi galama ya ujenzi wake.
  7. robhil mfwegekamo

    Msaada: Gharama za nyumba ya vyumba viwili

    mh we zunguka bar ya hapo nyuma uyolee machungu tu hiyo pakee yako mkuu.
  8. robhil mfwegekamo

    Mwekezaji kutoka Poland ashindwa kuwekeza nchini kutokana na kodi/tozo zisizoeleweka

    Unaulizwa biashata yako inamtaji wa sh ngapi unawafanyakazi wangapi utataja una watoto wapi nabuna mke! je watoto wanasoma wapi na unaripa ada sh ngapi una garia uapiki piki nyumbani vhakula unatumia shirngi ngapi. akimaliza hapo atahamia kwenye computer anabonyezabonyeza akija kuinuka utskia...
  9. robhil mfwegekamo

    Godbless Lema: Michezo hii inayochezwa barabarani watoto wanaifurahia sana, wangependa ifanyike kila siku

    sawasawa maigizo wanapiga na picha kuwa onyesha kuwa iko hivi.
  10. robhil mfwegekamo

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Aaa asrenal yangu inachukua urpa liege bila hata kubihia.
  11. robhil mfwegekamo

    Hotuba ya Rais Magufuli kwa EALA: Kulikuwa na ulazima gani kuitambulisha CCM?

    Rais magufuli amefafhiriwa na ccm yeye anasema ana serikali yake na vile vile ana kikundi kidogo tu cha watu wake ambao ndio waamuzi ndio hao wengine wasiojurikana na ndo hao akina polepole musiba na bashite wamefadhiriwa tu . halafu nitakushangaa kumfananisha m7 na huyu hapana hata kama wote ni...
  12. robhil mfwegekamo

    Jeshi la Polisi anzeni na kituo cha Sheria na Haki za Binadamu

    We zubaa unafikiri Bashite na Polepole walipateje shavu walifanya matukio live sio wewe unayeandika magu haamini mitandao hata kidogo jitoe mhanga waingilie waliko kutana.
  13. robhil mfwegekamo

    Ujenzi: Serikali ya Magufuli inaunyanyapaa mkoa wa Mbeya?

    kuna barabara ya kuanzia uyole mpaka kasumuru kwani ile ilijengwa na nani mbona ni barabara ya mfano sana toka 1992 MPAka leo nzimaa sana hivi zinazojengwa leo hii zinabomoka kesho wanajengea nini
Back
Top Bottom