Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Mkuu nafikiri uko right.Mkuu ungemtag na naibu spika pia ni wa huko.
Ingawaje Tulia bado sana kupata umaarufu wa kisiasa mkoani Mbeya .
Tulia ana nguvu za dola lakini sia za ushawishi na za kisiasa.
Lakini akiweza kuzitumia nguvu hizo kuleta maendeleo dhidi ya kero za barabara. nguvu za kisiasa zitakuja tu.