Jamani hili suala alilotangaza mbowe LA kukunja katatasi ya kura na kwenda name kalamu ni jambo linatakiwa lisisitizwe sana vinginevyo tutampotezea Lowasa kura zake has a kwa maeneo ya vijijini chili Nina uhakika nalo.
MNA habari za kizushi kweli watu Wa ccm hakuna MTU alieletwa na basi tanga huo ni uzushi mkubwa sana ongeleeni mambo mlio na uhakika nayo acheni umbea.
Ki ukweli watu walikuwa ni wengi kiasi kwamba watu wanakosa hewa na kupoteza fahamu acheni majungu mkutano imebidi uvunjwe kwa nyomi Mimi Niko bara bar a ya 3 karibu sana na huo uwanja Wa tangamano ccm waibe kura Ila hawana jipya.
Hivi hili LA kuweka mawakala kwenye vituo nalo ni LA kungalia sana wakala asije akanunuliwa hapo Hapo kituoni wakishaona tayari ccm imezidiwa akapewa chochote kura za ukawa zikachakachuliwa au mwalionaje inatakiwa wakala ambae anapenda mabadiliko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.