born again pagan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 2,333
- 1,497
Nenda Mkonge hotel mkuu,raskazoneeeee
Nenda majestic bar barabara ya tano
ushapata?kama bado sema usaidiwe kk usije pelekwa magaoni
Magaoni kuna hoteli?
majestic??aende ila kesho aamkie hospital kucheki
Kwa mujibu wa dada wa reception,ni huduma kuanzia kuingia mpaka kutoka kwako.
Moira= MpiraNimesema ya kwaminchi ni elfu arobaini na tano pale kwa mkuu wa wilaya masiwani zipo mbili moja wana bar huwa panajaa watu wakati wa Moira nyingine ipo pembeni yake ndio ambayo ni thelathini na tano ipo powa!
Nyinda kwa minchi is preferable
Je Guest gani naweza pata na Yale mambo yetu ya corner bar na kimboka?
Sawa magaoni inawezekana!ameuliza lodge/gesti mkuu!