Duuuu umeingia jijin 2020?
Hongera!!!
Mm nimeingia hapo1970s ,Kwa sasa nipo mkoani ila nakuja Sana hapo !!
Kiukweli Dar imekuwa chafu Sana Sana!!wakazi wa Dar wengi ni hohehahe(makabwela) mlo wa shida ,makazi duni, mpangilio mbovuwa mitaa !!! Joto Kali Sana ,kugobmbania mabasi[emoji26]
Mh Rais imulikeni CWT!!! Kikichotokea nimrejesho kuwa ndani ya CWT Kuna ujujaji wa kutisha, pia napendekeza walimu wakatwe tsh 8000 kama CWT contribution!! Wasikatwe kulingana na ukubwa wa mshahara kama ilivyo sasa
Matunda ya mlonge ni hatari utatoa uchafu mpaka ujishangae!!! Zimenye tafuna kama nane hivi,
Au tafuta karanga pori unaweza ukatoa utumbo au tumia mafuta ya mnyonyo utahara ushangae
longe
Vijana na kitanzania ni masela mavi wengi huko south afrika walikurupuka kwenda huko wanauhuni wa kijinga sana wengi wamekufa !!!nawatakufa sana wenyeji wameanzisha operations ya kutimua wageni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.