Wakuu,
Kazi ya Bunge ni kuishauri na kuisimamia Serikali, sasa hizo kazi za kupiga sarakasi, kulia na kupiga magoti nani kawatuma?
Je, wale wa Songea walimtuma Mbunge wao kupiga magoti? Wale wa Ukonga walimtuma mbunge wao akalie Bungeni? Na wale wa Karatu walimtuma jamaa akapige sarakasi na kuruka viriva mule ndani ya Bunge?
Wabunge warudi kwenye mtari watimize majukumu yao kama inavotakiwa na sio kutafuta umaarufu wa kijinga namna hii hatutaki wanachezea kodi za wananchi.
Kazi ya Bunge ni kuishauri na kuisimamia Serikali, sasa hizo kazi za kupiga sarakasi, kulia na kupiga magoti nani kawatuma?
Je, wale wa Songea walimtuma Mbunge wao kupiga magoti? Wale wa Ukonga walimtuma mbunge wao akalie Bungeni? Na wale wa Karatu walimtuma jamaa akapige sarakasi na kuruka viriva mule ndani ya Bunge?
Wabunge warudi kwenye mtari watimize majukumu yao kama inavotakiwa na sio kutafuta umaarufu wa kijinga namna hii hatutaki wanachezea kodi za wananchi.