Dar es Salaam ni jiji zuri ambalo limekosa matunzo

kwisha

JF-Expert Member
Sep 9, 2021
1,666
4,365
Mwaka 2020 nilivyofika Dar es Salaam nilipenda saana jiji hili the way lilivyo tu
Dar es Salam ina maghorofa mengi sana zaidi ya Quebec city Canada

Ila tatizo la jiji la Dar es Salaam ni uchafu
Ila Dar ni jiji nzuri saana

Na tatizo lingine watu hawa respect sheria za barabara kama Kariakoo kule utakuta barabarani watu wamejaa na gari zinapita katikati ya watu ndo kitu kingine ambacho nilikichukia hiki katika jiji la Dar es salam

Mimi ningelikuwa kiongozi la Tz ningetoa sheria kuwa jiji hili liwe la matajiri tu ili kulinda mazingira ya jiji hili sisi maskini mara nyingi ni watu ambao hatuheshimu mazingira
 
Duuuu umeingia jijin 2020?
Hongera!!!

Mm nimeingia hapo1970s ,Kwa sasa nipo mkoani ila nakuja Sana hapo !!

Kiukweli Dar imekuwa chafu Sana Sana!!wakazi wa Dar wengi ni hohehahe(makabwela) mlo wa shida ,makazi duni, mpangilio mbovuwa mitaa !!! Joto Kali Sana ,kugobmbania mabasi
 
Duuuu umeingia jijin 2020???
Hongera!!! Mm nimeingia hapo1970s ,Kwa sasa nipo mkoani ila nakuja Sana hapo !!
Kiukweli dar imekuwa chafu Sana Sana!!wakazi wa dar wengi ni hohehahe(makabwela) mlo wa shida ,makazi duni,mpangilio mbovuwa mitaa !!! Joto Kali Sana ,kugobmbania mabasi
1. tunagombea mabasi kwa sababu mabasi hayapo
2. matajiri wana mitaji ya kuongeza mabus ya abiria lakini wanasiasa hawataki
3. dala dala nyingi zinamilikiwa na wanasiaisa
4. wanatoa maelekezo kwa latra kutokuongeza daladala ili wapate faida zaidi kwa mateso ya wananchi au wapiga kura
 
Back
Top Bottom