Nomba msaada wa kununua laptop hii wapendwa, hasa upande wa hapa nchini mambo ya kodi tofauti na gharama nitakazo lipia mtandaoni kwa maana ya purchase cost+ transportation cost
Maisha ni vile wewe unavyoyaona!!, kuna mwana mmoja kipindi flani tulikuwa tunapiga stori kuhusu maisha, Yeye alisema hawezi kuishi zaidi ya Morogoro na Dar es salaam otherwise atoboe nje ya nchi tu.
Maoni, leta mada kama ushauri usifikiri ufikiriavyo wewe kila mtu anamtazamo kama wako
Habari wanajukwaa,
Hii ndiyo sehemu(Tayoa ajira portal) ambayo utapata matangazo ya ajira kwenye mashirika na taasisi mbalimbali kwa uhakika.
Kwa nini nasema hivyo?
Tayoa ajira portal website ni wazuri na wamekuwa wakiweka matangazo ya kazi kupitia tangazo la mhitaji mwenyewe yaani/scanned copy...
Anwani inayotolewa hapo chini baada ya tangazo,
Ni kwa ajili ya mtu unaye mtumia/address to.
Barua ya kiofsi au kikazi ina Anwani ya mtumaji/anayeomba kazi na yule anayeombwa kazi.
Baada ya kuandika barua ya maombi mwandikiwa anaipataje?
Hapo ndiyo wanakuambia maombi yatumwe kupitia ajira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.