Mfumo wa ajira mtandaoni...(portal ajira)

Mfumo wa ajira mtandaoni...(portal ajira)

Mkuu, sehemu ya academic zimegawanyika..kuwa makini, kuna sehemu ya ku attach transcript, gamba, na cheti cha kidato cha nne,, ukichanganya hizo sehemu unakuwa umekosea.. Japo haikatai kuatach. Issue inakuja unapo omba kazi, itakuambia hujaweka cheti. Hilo tatizo liliwahi kunitokea
Sehemu ya kwanza nimeweka vyeti vyoye ambavyo nishasoma chuoni na secondary....chini kwenye Transcript niweka vyeti vyenyewe ambavo vina matokeo
 
Una omba nafasi gani inayo kusumbua... Je umefikisha asilimia ngapi???
 
naomba kujuzwa, kwale ambao ndo wamemaliza masomo yao(2018) na cheti hawaja pata ila transcripts wamepewa wanaweza kuomba nafazi hizi?
 
Una omba nafasi gani inayo kusumbua... Je umefikisha asilimia ngapi???
Kama hii ya driving... vyote nimeweka lakini nashangaaa...
Screenshot_2018-09-15-15-48-08.jpeg
 
Mkuu job application requirements zimekuwa configured na system ili kuondoa usumbufu wa mtu asie fit kwenye kazi husika kuiomba kazi hiyo.
Mfano kazi inahitaji mwenye diploma ya IT then ww kwa kuwa una bachelor ya IT uka apply haikubali.

Soma zile qualification vizuri and job experience then ndo apply kama sifa hizo unazo.
Qualification na age requirement nimekidhi mkuu. Ila inagoma inamaana kuna tatizo lengine technical sio bure mkuu....sio wote tunakosea
 
Qualification na age requirement nimekidhi mkuu. Ila inagoma inamaana kuna tatizo lengine technical sio bure mkuu....sio wote tunakosea
ili hata mimi nimeliona ika bidi nimwambie dogo aombe mwenyewe... haiwezekani kina nikirekebisha naambiwa nakosea nikicheki nipo sahihi ila naambiwa nimekosea... kazi haziitaji age limit kwa baadhi na experience lakini naambiwa hivyo... nimeshangaa na kurudisha mpira kwa mwenyewe acheze...

ila kama utaangaika nao utusaidie nasi tusaidie hawa wengine boss...
 
ili hata mimi nimeliona ika bidi nimwambie dogo aombe mwenyewe... haiwezekani kina nikirekebisha naambiwa nakosea nikicheki nipo sahihi ila naambiwa nimekosea... kazi haziitaji age limit kwa baadhi na experience lakini naambiwa hivyo... nimeshangaa na kurudisha mpira kwa mwenyewe acheze...

ila kama utaangaika nao utusaidie nasi tusaidie hawa wengine boss...
Poa poa mkuu...tatizo la humu watu wengi much know....ila kuna tatizo kwenye system hope jtatu nitaleta mrejesho
 
Mkuu job application requirements zimekuwa configured na system ili kuondoa usumbufu wa mtu asie fit kwenye kazi husika kuiomba kazi hiyo.
Mfano kazi inahitaji mwenye diploma ya IT then ww kwa kuwa una bachelor ya IT uka apply haikubali.

Soma zile qualification vizuri and job experience then ndo apply kama sifa hizo unazo.
Umefafanua vizuri, atakua ameelewa maana umetumia lugha yetu Hamisi
 
Mimi pia Jana tu nimeomba kazi ambayo qualifications Zake ni za CSEE, na mimi top qualifications ni za chuo.. System imenikatalia ikaandika hiyo notifications kwamba Sina qualifications za CSEE.. Nikaja kugundua system imesetiwa na ina judge vile vies vyako vya juu kabisa ili uombe kazi..
Kwa hiyo kwenye ikaandika age requirements maana ake umri wako na hiyo kazi haviendani maana yake umri mkubwa sana kushinda umri wanaotaka.
Na kuhusu kuandika Huna requirements za CSEE maana kazi unayoomba ina vigezo vidogo wakati profile yako ina vigezo vikubwa zaidi vya Elimu.
 
Mimi pia Jana tu nimeomba kazi ambayo qualifications Zake ni za CSEE, na mimi top qualifications ni za chuo.. System imenikatalia ikaandika hiyo notifications kwamba Sina qualifications za CSEE.. Nikaja kugundua system imesetiwa na ina judge vile vies vyako vya juu kabisa ili uombe kazi..
Kwa hiyo kwenye ikaandika age requirements maana ake umri wako na hiyo kazi haviendani maana yake umri mkubwa sana kushinda umri wanaotaka.
Na kuhusu kuandika Huna requirements za CSEE maana kazi unayoomba ina vigezo vidogo wakati profile yako ina vigezo vikubwa zaidi vya Elimu.
Hayo yote nayajua mkuu sema mwanzo kulikuwa na tatizo maana kwa sasa naweza omba hiyo kazi iliyokuwa inasema kuhusu age na experience requirement na sijabadili chochote kwenye profile yangu....tatizo limeshakuwa solved
 
Hi ndungu zangu

Nina tatizo ndugu yangu,kiufupi mimi nimejisajili kwenye Portal Ajira...tatzo linakuja kwenye kuapply kazi...nikitaka kuapply wanasema sijui sijaweka vyeti vya o-level,mara sijaweka age requirements...nikiangalia vyote vipo...ila nashangaa kwanini wananiletea ujumbe huo...

Kwa uthibitisho nimeattach screen shots zake mjionee labda kuna nimekosea mnaweza mkanisaidia kurekebisha ndugu zangu.View attachment 866796View attachment 866797
Wewe ndie unahekosea masharti na amini lugha ni tatizo kidogo
 
Hata mimi inagoma. Nina degree ya Accountancy and Finance but nikiomba kazi za uhasibu zote zinakataa
IMG_4094.JPG
 
Hi ndungu zangu

Nina tatizo ndugu yangu,kiufupi mimi nimejisajili kwenye Portal Ajira...tatzo linakuja kwenye kuapply kazi...nikitaka kuapply wanasema sijui sijaweka vyeti vya o-level,mara sijaweka age requirements...nikiangalia vyote vipo...ila nashangaa kwanini wananiletea ujumbe huo...

Kwa uthibitisho nimeattach screen shots zake mjionee labda kuna nimekosea mnaweza mkanisaidia kurekebisha ndugu zangu.View attachment 866909View attachment 866910
Kiingereza unajua?
Ulichoandika na screenshot yako vipo sawa?
 
Back
Top Bottom