Recent content by RMANDIA

  1. R

    Mkutano wa Dkt. Slaa mjini Kahama - Dec 4, 2013

    tuletee picha za ukwli mkuu, buku 7000 ipo
  2. R

    Mkutano wa Dkt. Slaa mjini Kahama - Dec 4, 2013

    BADO KIGOOOOMA aeeeh KIGOMA lekatutigite, Dr W. P. SLAA ndie Rais wa mioyo ya Wa TANZANIA 2010-2020, HAWAWEZI KUCHAKACHUA MIOYO ya Wa TANZANIA never!!!!!!
  3. R

    Mkutano wa Dkt. Slaa mjini Kahama - Dec 4, 2013

    HAWA MAGAMBA TUWAJIBU HIVI HIVI KWA VITENDO, WAPOTOSHAJI WAKUBWAAA!!!!!!!! 2015 apakati chembe kidevu LAZIMA MKAE
  4. R

    CCM Kagera yawafukuza madiwani wake 8

    sikio lakufa
  5. R

    KATEKISTA kumsukuma bibi harusi altalen mpaka kuanguka ni sawa?

    Kiongozi mmoja wa kanisa alimsukuma bibi harusi mmoja wakati wa kufungisha ndoa kanisani sababu ya mavazi ya ajabu kwa madai ya kiongozi huyo, ni kweli kuwa kuvaa mavazi ya ajabu ajabu sehemu za ibada haipendezi kabisa, kwa mfano waislamu wao sheria zao zipo na zina eleweka na waumini wake...
  6. R

    Warioba ‘amnanga’ aliyetoa maoni kwa waraka wa CCM

    WARIOBA hakuna hasicho kijua kuhusu CCM na walaka wao, mimi namshangaa sana sababu alisema hataki kumuona mtu akishawishiwa na MTU MWINGINE ama TAASISI yoyote KILA MTU ATOE MAONI YAKE MWENYEWE, sasa huu si ni USHAHIDI WA KUTOSHA achukue hatua sasa kama yeye KIDUME, na serikali 3 zote za nini...
  7. R

    Zitto Z. Kabwe nani kakunyamazisha?

    Kiukweli ZZK mimi nina wasiwasi nae tokea SAID KUBENEA alivyotoa habari za mawasiliano yake na wakuu wa serikali, alafu tokea WABUNGE hawa G. LEMA, TUNDU LISU, MSIGWA, MNYIKA, MDEE waingie ndani ya BUNGE wamemfunika vibaya mno kwa sababu chache tu, [1] WAKARI na hawachekicheki na WATAWALA katika...
  8. R

    BAVICHA kuileta dunia ya vijana Tanzania

    Wfaaa kuonewa huruma, unaonyesha una uchu wa POSHO kutoka LUMUMBA, na chanzo chako kutoka HISPANIA UNATIA HURUMA MASIKINI
  9. R

    BAVICHA kuileta dunia ya vijana Tanzania

    HONGERA BAVICHA, Hongera CDM
  10. R

    Kwanini CHADEMA hawana diwani wala mwenyekiti wa mtaa Temeke?

    Kaka pole sana kwa kuwa hujui lolote kuhusu TEMEKE ya sasa ingawa yapo baadhi ya mambo hayapingiki lakini tuna historia ya MABADILIKO, kama unataka kukujua zaidi muulize LYATONGA MREMA,
  11. R

    Kwanini CHADEMA hawana diwani wala mwenyekiti wa mtaa Temeke?

    WEWE UMEANGALIA WAWAKILISHI TU! LAKINI HUKUANGALIA CHADEMA KAMA CHAMA KINAENDELEAJE? NAKUOMBA UPITE TENA ALAFU NAKUSAIDIA NA DIRECTION NENDA KATA YA TEMEKE, MTAA WA MAGANGA MASHINA YA CCM MAWILI YAMEBADILISHWA KUWA YA CHADEMA, moja linaitwa M4C na lingine linaitwa MAGANGA, na kikubwa kabisaa ni...
  12. R

    VIDEO: Makambi ya Red Brigade kuanza wiki ijayo

    Mungu akipenda na mimi nitakuwepo
Back
Top Bottom