VIDEO: Makambi ya Red Brigade kuanza wiki ijayo

VIDEO: Makambi ya Red Brigade kuanza wiki ijayo

Yes kamanda mawazo ni ujasiliamali wa kuteka mabasi!! -- ha ha ha
 
Liwalo na liwe tumechoka sasa!! Eeeeee tumechoka, tutajilinda wenyewe sasa!!
 
Yes kamanda mawazo ni ujasiliamali wa kuteka mabasi!! -- ha ha ha

Ujasiliamali wa Mwigulu na Kikwete. Hili ni tatizo la akili ndogo kutawala akili kubwa (Msigwa, 2013).
 
Nimeipenda hiyo Commander (in chief) Freeman Mbowe
 
Ni taarifa nzuri kwa wale wote tunaoitakia chadema mafanikio mazuri pamoja na usalama wa viongozi wetu na mali za chama
 
Hapa ndipo ntaonyesha uzalendo kwa chama changu natoa watoto wangu wote wa 3 wakalete mabadiliko uzuli wamekubali wenyewe.
 
Kambi ya Mbeya wapi,piga sana Karate ha,ha,ha,ha,ha.Vijana wa mtaani kwetu nimewapa taarifa wamefurahi xana teh,teh,teh gooo! CHADEMA.
 
UDHAIFU wa DHAIFU na U P U M B AV U wa M PU MBA VU ndio sababu ya hivi vikundi. Siungi mkono vyama vya siasa kuanzisha vikundi kama Green Guards, Red Brigade na Blue guards. Kazi ya ulinzi ni jukumu la Police na Idara za Usalama. CCM imezichafua hizo idara na Policcm, no body trust them any more.
 
Hapa ndipo ntaonyesha uzalendo kwa chama changu natoa watoto wangu wote wa 3 wakalete mabadiliko uzuli wamekubali wenyewe.

Hahaha hahaha hahaha Ubarikiwe sana.
 
tatizo sio hiyo elim.. tatizo kama elimu hiyo itatumika vibaya.. vijana hawa wanaweza kuja kuwa kundi hatarish sana hapa nchini.. lakin hiv ni kwanin isifike hatua hiki chama tawara kikaamua kufanya kazi na kuachana na siasi mnyororo.. kama watawajibika wataendelea tawala na wata fanya yao.. naamin iiii inch itakua haitawalik sababu ya watu kuchoshwa na utawala wa mabav na kukosekana kwa democrasia
 
Back
Top Bottom