Recent content by rkyaruzi

  1. R

    Kagera - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Hiyo siyo sahihi! Tujifunze kuheshimu demokrasia
  2. R

    Kagera - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Nimeambiwa na ndugu yangu huko Buyango, jimbo la Nkenge, matokeo kuwa Kata ya Buyango- CCM Bwanjai, Ruzinga na Kitobo _ Ukawa
  3. R

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Hizi nyuzi za matokeo hazijakaa vizuri !
  4. R

    Badoo inanivunjia uchumba wangu

    Msamehe, muite mwambie ukweli. Achana naye. Usizipost picha zake, kuonyesha wewe ni mcha Mungu na mtu mwaminifu!
  5. R

    Meya wa Bukoba (Dr. Amani) akanusha kujiuzulu!

    WANAOONGELEA KUWAJIBISHWA WANAJUA KUWA MEYA HATEULIWI? Pindi hawezi kikatiba kumsimamisha huyu jamaa, bali madiwani wakikaa wapige kura ya kutokuwa na imani naye, ndipo wamwangushe. Mtu asisemi CCM haijamtoa. Labda imfute uanachama!
  6. R

    Kutoka Mahakama Kuu kanda ya Dar: Usikilizwaji wa uamuzi wa pingamizi la Zitto

    Ili uwe reporter mzuri usiwe biased! Maana mimi nakufuatilia na ni shabiki wa Zitto kabwe, jembe!
  7. R

    Uchambuzi wa dr. Lwaitama kuhusu sakata la Zitto na maamuzi ya kamati kuu ya CHADEMA

    ni kama nilihs Zito et al wanaonewa, lakn kwa uchambuzi wa Dr lwaitama ninaunga mkono maamuzi ya kuwasimamisha hawa wahaini!
  8. R

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    binafsi nimeokoka na nina nguvu za Roho Mtakatifu! lakn nimepata wazo ambalo sijawahi ktmwambia mtu, ni kuwa kuna matukio hutokea na akili hukumbuka kuwa nilishayaona japo sitatjumbuka wapi na lini! ths is super natural power na zina oka kwa Mungu wala msimhusudu shetani
  9. R

    Mdogo wangu ananitaka kimapenzi

    Umekuwa inamtega na kumkalia vibaya nini?
  10. R

    Benk ya crdb yashiriki katika ulaghai wa wateja wao.

    Ukipost Uzi kama huu jenga hoja Siyo unaishia hewani Hii ni kashifa kubwa tuache kuwa tunarukia mada jamani.
  11. R

    Video ya Lipumba Msikitini na Vyombo vya Dola

    Wewe ni pagan na Moto unakusubiri. Nilishajua kwa nini majini yana imani kama ya wapagani!
  12. R

    hODiiiiiiiiiiiiiiii humu

    Almradi usijilipue km alshabab!
  13. R

    wanaume usafi katika performamce ni muhimu,usilazimishe msanii aperfom na mic wakati ....hapaeleki.

    Ndo mmeishaambiwa kansa za midomo na koo zitawamaliza ninyi watu wa Uvinza na ramba ramba. Shauri yenu.
  14. R

    Bachelor of banking and finance IFM

    Nilimaanisha 'usiige marafiki WABAYA' na Siyo wahaya kama android ilivyochapia.
Back
Top Bottom