WANAOONGELEA KUWAJIBISHWA WANAJUA KUWA MEYA HATEULIWI? Pindi hawezi kikatiba kumsimamisha huyu jamaa, bali madiwani wakikaa wapige kura ya kutokuwa na imani naye, ndipo wamwangushe. Mtu asisemi CCM haijamtoa. Labda imfute uanachama!
binafsi nimeokoka na nina nguvu za Roho Mtakatifu!
lakn nimepata wazo ambalo sijawahi ktmwambia mtu, ni kuwa kuna matukio hutokea na akili hukumbuka kuwa nilishayaona japo sitatjumbuka wapi na lini! ths is super natural power na zina oka kwa Mungu wala msimhusudu shetani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.