Mdogo wangu ananitaka kimapenzi

Mdogo wangu ananitaka kimapenzi

laana nyingine hz za dunia.kama nyie n punjabu sawa.

Hakina cha laaana hapo, utaratibu wa kuoana ndugu au kugengendana na ndugu tumeuweka sisi jamii na tukiamua tunaweza kuuvunja.
Tena utaratibu huo ulianza mwishoni mwa karne ya 19. Hapo zamani watu walikuwa wanaongiliana ndugu kwa ndugu. Hata uzao wa binadamu wote tuliopo hapa duniani tulianzia kwa watu wawili (babu na bibi zetu) Adam na Hawa. Iweje leo iwe laaana?
Sishabikii mahusiano ya ndugu kwa sababu duniani tumetapakaa watu wengi wakila aina ila kama itatokea ndugu wanagengendana basi dhambi ni ile ile tu kama vile ungeenda kuchukua Malaya corner bar, nothing else. Yaani kwa kifupi no big deal hapo, kwanza hao siyo kaka na dada wa damu moja ni ndugu tu.
Na inavyoelekea huyo dada anampenda huyo ndugu yake sema anaogopa macho ya watu. Kama vipi ye amsikilize tu.
 
hii sijui ila kwa akili za kawaida huyu dada inawezekana anamchekea mdogo wake,cha msingi ni kumuonyesha kuwa yeye ni ndugu yake na isingeliwezekana kamwe kuwa wapenzi na azingatie misingi na mila zetu.
ni mtazamo wangu tu.
 
Sio kila kitu tuwe tunaisingizia bangi jamani, una uhakika gani kama huyo bwana anatumia au huyu dada ame mention wap kwamba kaka yake anavuta bangi? Jenga hoja ya msingi bwana.


Sasa kama siyo Bangi ni nini hizo, kwa akili ya kawaida unafikiri mwenye akili timamu anaweza akathubutu kufanya ----- huo?
 
Ingelikuwa ni ndoa, basi dini ya Kiislam inaruhusu.

Lakini zinaa, hapana ruksa.
Du!!!! kwani amesema wao ni waislam? Mtoto wa mjomba na au mtot wa shangazi yako labda, mahali pengi inafikirika. Mtoto wa mama mkubwa sioooo! Kwa nini, kwa sababu mama ndiye peke yake anayejua mtoto huyu baba yake ni nani lakini yeye ndiye mama yake for sure kama hawakuchakachua pale muh2 au kwingineko wanakojifungulia. hajasema yote, huenda huyo mkaka alishachovya kidogo na kaona tamu yake mdada, si unajua mchovya hachovi x1? Ushauri wa kukaa kama ukoo ni mzuri maana kama kaka anataka kweli kuoa dada yake tena mkubwa kuliko yeye mama zao wanajua cha kufanya. YAANI KAMA STORY SIO YA KUTUNGWA
 
Kwani huyo dada yako ni beautiful?????Kama humtaki mlete kwangu wala hatakusumbua tena.
Mshinga taratibu huyo anayeongelewa ni Kidume cha mbegu ndio kinachomsarandia dada yake
Mila za Kihindi, kiarabu hasa wa Kimahra kuoana ndugu wa Mama mkubwa kwa Mama mdogo wanaona halali ili wasipoteze damu
 
Last edited by a moderator:
diii... hivi hili nalo linahitaji ushauri.<br><br>Au wewe mwenyewe ni kama unataka sitaki vile???<br><br>Watch out binti mzuri (huyo nduguyo anakudanganya tu)
 
diii... hivi hili nalo linahitaji ushauri. Au wewe mwenyewe ni kama unataka sitaki vile??? Watch out binti mzuri (huyo nduguyo anakudanganya tu)
 
undugu nikutoka kiunoni kwenda juu chini hapana.labda mchangie baba na mama,hapo hata mlale kitanda kimoja hakisimami.
 
duh............
dogo kweli kadata na balehe mbichi. msamehe bure.
Lifikishe swala hili kunako stahili haraka sana kabla hajakubaka.
 
Kaka yako anakukazia kutokana na msimamo wako ungekuwa mkali asingekusumbua mtafutie rafiki yako sijajua umri wenu labda tatizo pia



HAPA UMENENA MKUBWA.
Kama ni hv hakika laana itaikumba Taifa.
 
Hilo ndiyo tatizo la geti kali wakati ndani mmeachiwa uhuru wa kuangalia mikanda yote ya kuamsha mioyo. Matokeo yake ndiyo haya.
 
Habarini wapendwa. Nimekuja mbele yenu mnipe mawazo. Me nina mdog wang mtot wa mama mkubwa ambae me namuita kaka, ananipenda sana. Me nimemkatalia bt haelewi yani ndo kma namchochea. Anasema ye hajui cha undugu wala nini, kikubwa moyo wake upo kwangu. Kiukwel najckia aibu kwa anavyofanya coz namuheshm sana. Na amejaribu kunywa sumu akaokolewa anadai eti kama cmtak atajiua. So nisaidien guyz me nataka TUHESHMIANE kma zaman yeye ni mdogo wangu. Pia me sitak kuwa ktk mahusiano kwasasa hata kama asngekuwa ndugu yangu! Help plz.

Hizo aibu zako ndiyo zinamvutia yeye, haujasema ana umri gani na wewe una umri gani! Huenda ni utoto tu unawasumbua, au kama ashakuwa kijana basi atakuwa na matatizo ya kutongoza, jaribu kuwa unakuja home na rafiki zako wazuriwazuri wamzowee, huenda ana msongo wa mawazo tu! Pia mazingira mnayoishi huenda ni hatarishi wa ndugu wa jinsia tofauti, mjitahidi kuwa mnatoka out kiasi, kwenda kujichanganya, otherwise kama ni getini muda wote ndiyo chanzo cha kusimamiana show kwa sababu na wewe kama binadamu utaamka zimekukaba na mnajikuta mko wawili mnaishia kupigana mashine! Kama nyie wote ni wakongwe mwambie point blank, tena plain faced kuwa AKUKOKE, NA AACHA KABISA UJINGA HUO, ikibidi washirikishe wazazi wenu, kama ni wa kunywa sumu mwambieni atupie tu hako ka sumu!
 
Ndg yako anakutaka kimapenzi ndiyo mpaka
uje hapa kuomba ushauri. Hivi hujui kwamba
ni jambo lisilowezekana.


Usikubali lkn watu wengi wamekuuliza umri
wako ni kuwa umeshindwa kuwa na jibu
kwa jambo jepesi km hili ?


Je wachangiaji wakisema umpe! Utampa ?
Jambo hili uwe na msimamo wa hapana.
 
Ebu naombeni mtoe ushaul siyo kuanza kupondea eti bangi,bangi kitu gani bana mbona tunapigaga hiyo maneno lakini hatujatamani madada zetu?.hujawaza fikiria jingine.
 
Back
Top Bottom