Ipo mahala pake kabisa. Kama hujaelewa pengine ww ndio mtumiaji wa gongo na bange unless umezijuaje? au utakuwa unajua tu kusoma ba kuandika...sasa miandiko ya wasomi km sisi kwako ni giza
Wanajeshi wenyewe wako busy tutest vi vitz vyao vya mikopo...yaan niache kuendesha ki vitz changu barabra ya nyerere ati niende kibiti nikawide wanaoua viongozi wa ccm, kwani mie ni ccm? mie ni serikali...nimeajiriwa na serikali...angekufa mwananchi ningeenda fasta.
Ushuru mkubwa...sasa hata kuingiza kipajero tu unadai ushuru wa bei ya Vitz...unategemea ntakuelewa hata kama nina hela?? mbona nikashinde angani nchi za watu kama shida ni helcopter. Yatch utaishia kuziona tu kwenye video za kina domo hadi unyooke ewe mtanganyika
Sasa kama wameshafika bei kwa vitisho vya baria uchwara za polisi, mwendo ikawa ni kumerge thread, pia wakajivumbulia kateknolojia ka kufilter thread isiweonekane na wengi hasa kama inakosoa serikali (yaan hawafuti kithread chako, ila hupewi shavu, yaani ni Clouds & Bashite Style)...ww...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.