Recent content by Riziki Magembe

  1. R

    Zanzibar: Mapokezi makubwa yawasubiri Dk. Slaa, JJ Mnyika na Salum Mwalimu

    Wahudhurie ukawa leo seif yupo kibanda maiti
  2. R

    Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud afukuzwa kazi, Said Hassan Said apewa nafasi hiyo

    Mungu akupe ujasiri na kutokata tamaa othman katika kuitetea znz
  3. R

    Sakata la mahakama ya kadhi, CCM ilaumiwe

    Wana jamvi ahadi ya uanzishwaji wa mahakama ya kaadhi ilikuwepo katika ilani ya ccm ya 2005,hivyo utekelezaji wake kwa waislam ni jambo ambalo haliepukiki kwakua kura za waislam walizitoa kwa ahadi hiyo!
  4. R

    Wana-CHADEMA wengi wajitokeza kugombea Uenyeviti wa Vijiji na Vitongoji Muheza

    Wanajamvi habari zenu, Kama mjuavyo tunaelekea kwenye uchaguzi wa vijiji na vitongoji nchi nzima,taarifa za CHADEMA Muheza mpaka sasa wana chadema Muheza wamejitokeza kugombea,mpaka sasa nusu ya vijiji 74 na vitongoji 521 wagombea zaidi ya mmoja wamejitokeza kwa kutia nia ya kugombea. Hapa...
  5. R

    Tamko la vijana weledi wa vyuo vikuu tanzania

    Taarifa kwenu wana jamvi na wanavyuo wa vyuo vikuu;tamko lililo tolewa na wanao jiita wanafunzo wazalendo wa vyuo vikuu sio tamko la wanavyuo kama walivyo danganya,kwanza vyuo vikuu wanafunzi wapo field na wengine wapo likizo,so watoa tamko wamekete wapi na wanavyuo walivyo taja na kujadiliana...
  6. R

    Shehena ya pikipiki za CHADEMA awamu ya pili zapokelewa makao makuu

    Wanajamvi, Taarifa za uhakika toka makao makuu CHADEMA ni kwamba shehena kubwa ya pikipiki awamu ya pili zimeshafika makao makuu CHADEMA kwa ajiri ya kugawanywa majimbo yote yaliyobakia Tanzania kwa lengo la kurahisisha ujenzi wa chama katika majimbo,kata na vijiji,ama hakika CHADEMA...
  7. R

    Kangi Lugola: CCM wanaweweseka

    Kangi mwiba ccm
  8. R

    Aminata Saguti achaguliwa kwa kishindo Korogwe

    Taarifa za uhakika kamanda aminata saguti amechaguliwa leo kuwa mjumbe wa chadema mkutano mkuu taifa akiwakilisha wilaya ya korogwe,kamanda amepata kura za kutosha hii imetoa picha anakubalika,hongera sana kamanda
  9. R

    Chadema kata ya tongwe na zirai muheza za pata ofisi mpya

    Katika hali ya kuonyesha sasa muheza chadema ndio habari ya mujini,kata ya tongwe imepata ofisi ya chama iliyopo kitongoji cha zimbiri ambapo ndipo makao makuu ya kata,ofisi hiyo iliyo tokana na nguvu za wanachama,wadau na wapenzi wa chadema katika kata hiyo imekwisha anza kutumika huku ccm...
  10. R

    Uchaguzi wa CHADEMA Muheza 23/8/2014

    Habari wana jamvi,baada ya kuakhirishwa uchaguzi wa chadema muheza,leo kamati tendaji imekaa na kutoa taarifa kuwa uchaguzi utaendelea tarehe tajwa hapo juu hii ni kutokana na kifo cha mzee rashid mwengo ambe amezikwa jana,pia ikumbukwe kuwa mabaraza tayari wamechaguana nafasi zitakazo pigiwa...
  11. R

    Kifo cha CCM kimetimia

    Wana jamvi utabiri wa kifo cha ccm alio wahi kuutoa mwalimu nyerere unaelekea kukamilika,dalili zote zipo wazi maana laana za wazee waasisi wa ccm akina mzee warioba na butiku zinakwenda kukiangamiza ccm,laana za wasomi waaminiefu na weledi prof kabudi,prof mpangala na dr lwaitama sasa hakuna...
  12. R

    Ukawa kuanza oparesheni mkoa wa dar 6/8/2014

    Mkuu habari ya mjini mimi ni gogo la udi unavyo lichoma nazidi kunukia
  13. R

    Ukawa kuanza oparesheni mkoa wa dar 6/8/2014

    Wana jamvi kuna taarifa ambayo bado haijathibitishwa kuwa kuanzia tarehe tajwa hapo juu ni kwamba wana ukawa watapiga mikutano ya hadhara kata zote mkoa wa dar kuomba uungwaji mkono mpana wa wananchi dhidi ya wale ccm wanao kataa maoni ya katiba ya wananchi,timu ya wabunge,madiwani,wanaharakati...
  14. R

    Karibuni Muheza makamanda wote Tanzania

    Magoroto kupo sawa chadema ina imarika mno
  15. R

    Chadema muheza hongereni kwa ubunifu kuntu

    Karibuni muheza wanachama 53 wachukua fomu kugombea nafasi mbali mbali za uongozi ndani ya chama katika uchaguzi wa 9/8/2014,kwa mazingira hayo ushauri nilio utoa katika kikao cha kamati ya utendaji wa kuwa na kamati ya maridhiano kwa wagombea wajumbe wakaipitisha kuwa hoja yenye afaya kwa chama...
Back
Top Bottom