Wana jamvi ahadi ya uanzishwaji wa mahakama ya kaadhi ilikuwepo katika ilani ya ccm ya 2005,hivyo utekelezaji wake kwa waislam ni jambo ambalo haliepukiki kwakua kura za waislam walizitoa kwa ahadi hiyo!
Wanajamvi habari zenu,
Kama mjuavyo tunaelekea kwenye uchaguzi wa vijiji na vitongoji nchi nzima,taarifa za CHADEMA Muheza mpaka sasa wana chadema Muheza wamejitokeza kugombea,mpaka sasa nusu ya vijiji 74 na vitongoji 521 wagombea zaidi ya mmoja wamejitokeza kwa kutia nia ya kugombea.
Hapa...
Taarifa kwenu wana jamvi na wanavyuo wa vyuo vikuu;tamko lililo tolewa na wanao jiita wanafunzo wazalendo wa vyuo vikuu sio tamko la wanavyuo kama walivyo danganya,kwanza vyuo vikuu wanafunzi wapo field na wengine wapo likizo,so watoa tamko wamekete wapi na wanavyuo walivyo taja na kujadiliana...
Wanajamvi,
Taarifa za uhakika toka makao makuu CHADEMA ni kwamba shehena kubwa ya pikipiki awamu ya pili zimeshafika makao makuu CHADEMA kwa ajiri ya kugawanywa majimbo yote yaliyobakia Tanzania kwa lengo la kurahisisha ujenzi wa chama katika majimbo,kata na vijiji,ama hakika CHADEMA...
Taarifa za uhakika kamanda aminata saguti amechaguliwa leo kuwa mjumbe wa chadema mkutano mkuu taifa akiwakilisha wilaya ya korogwe,kamanda amepata kura za kutosha hii imetoa picha anakubalika,hongera sana kamanda
Katika hali ya kuonyesha sasa muheza chadema ndio habari ya mujini,kata ya tongwe imepata ofisi ya chama iliyopo kitongoji cha zimbiri ambapo ndipo makao makuu ya kata,ofisi hiyo iliyo tokana na nguvu za wanachama,wadau na wapenzi wa chadema katika kata hiyo imekwisha anza kutumika huku ccm...
Habari wana jamvi,baada ya kuakhirishwa uchaguzi wa chadema muheza,leo kamati tendaji imekaa na kutoa taarifa kuwa uchaguzi utaendelea tarehe tajwa hapo juu hii ni kutokana na kifo cha mzee rashid mwengo ambe amezikwa jana,pia ikumbukwe kuwa mabaraza tayari wamechaguana nafasi zitakazo pigiwa...
Wana jamvi utabiri wa kifo cha ccm alio wahi kuutoa mwalimu nyerere unaelekea kukamilika,dalili zote zipo wazi maana laana za wazee waasisi wa ccm akina mzee warioba na butiku zinakwenda kukiangamiza ccm,laana za wasomi waaminiefu na weledi prof kabudi,prof mpangala na dr lwaitama sasa hakuna...
Wana jamvi kuna taarifa ambayo bado haijathibitishwa kuwa kuanzia tarehe tajwa hapo juu ni kwamba wana ukawa watapiga mikutano ya hadhara kata zote mkoa wa dar kuomba uungwaji mkono mpana wa wananchi dhidi ya wale ccm wanao kataa maoni ya katiba ya wananchi,timu ya wabunge,madiwani,wanaharakati...
Karibuni muheza wanachama 53 wachukua fomu kugombea nafasi mbali mbali za uongozi ndani ya chama katika uchaguzi wa 9/8/2014,kwa mazingira hayo ushauri nilio utoa katika kikao cha kamati ya utendaji wa kuwa na kamati ya maridhiano kwa wagombea wajumbe wakaipitisha kuwa hoja yenye afaya kwa chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.