Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Taarifa za uhakika kamanda aminata saguti amechaguliwa leo kuwa mjumbe wa chadema mkutano mkuu taifa akiwakilisha wilaya ya korogwe,kamanda amepata kura za kutosha hii imetoa picha anakubalika,hongera sana kamanda