Shehena ya pikipiki za CHADEMA awamu ya pili zapokelewa makao makuu

Riziki Magembe

JF-Expert Member
Apr 5, 2014
886
206
Wanajamvi,

Taarifa za uhakika toka makao makuu CHADEMA ni kwamba shehena kubwa ya pikipiki awamu ya pili zimeshafika makao makuu CHADEMA kwa ajiri ya kugawanywa majimbo yote yaliyobakia Tanzania kwa lengo la kurahisisha ujenzi wa chama katika majimbo,kata na vijiji,ama hakika CHADEMA imejipanga vilivyo!

Pia mtoa taarifa amesema kuwa awamu ya 3 na 4 ya shehena za pikipiki bado ipo china inapakiwa kwenye makonteina kwa ajiri ya kuletwa Tanzania kwa ajiri ya tarafa zote Tanzania,hivyo wanachadema wajiandae kufanya kazi kwa bidii zaidi kuelekea uchaguzi wa vijiji na vitongoji hatimae uchaguzi mkuu mwakani!
 
Tunashukuru kwa taarifa kamanda, la msingi tufahamishe tenda ya hizo pikipiki ilipewa kampuni gani.

Tupe mchanganuo wa gharama za pikipiki ni kiasi gani cha pesa kimetumika.

Tunasubiri taarifa kamanda.
 
Mbona zile za awamu ya kwanza hazikufika huku mikoani? Ziliishia wapi?
 
Tunashukuru kwa taarifa kamanda, la msingi tufahamishe tenda ya hizo pikipiki ilipewa kampuni gani.

Pikipiki za CDM ni order maalum toka kiwandani ndio maana zina logo na namba zake in ascending order.
Wachina hasa Sanlg ukiagiza pikipiki kwa order maalum,wao wanahusika kusafirisha sambamba na assembly. Wewe unapokea bandalini kwa utaratibu unaofuata wa ushuru,bima na vibali.
 
Tunashukuru kwa taarifa kamanda, la msingi tufahamishe tenda ya hizo pikipiki ilipewa kampuni gani.

Tupe mchanganuo wa gharama za pikipiki ni kiasi gani cha pesa kimetumika.

Tunasubiri taarifa kamanda.

Subiri matusi kutoka kwa BAWACHA...
 
kwenye herikopta walitoa macho,acha wayatoe macho zaidi MI SINA CHAMA ILAHUWANAVUTIWA NA HARAKATI ZA CHADEMA ZINAZOFANYIKA AMANI YAKUTOSHA KWENU WANACHADEMA WOTE
 
Pikipiki za CDM ni order maalum toka kiwandani ndio maana zina logo na namba zake in ascending order.
Wachina hasa Sanlg ukiagiza pikipiki kwa order maalum,wao wanahusika kusafirisha sambamba na assembly. Wewe unapokea bandalini kwa utaratibu unaofuata wa ushuru,bima na vibali.
Mkuu unaweza kutufahamisha kiduchu gharama za hizo pikipiki kila moja imegharimu kiasi gani.
 
Mkuu unaweza kutufahamisha kiduchu gharama za hizo pikipiki kila moja imegharimu kiasi gani.

muda ukifika gharama itakuwa wazi kwa jamii kunukuu, kwa sasa tukapokee pikipiki kwanza (tupambe kisha tusherehekeeeee)
 
Haya ndiyo manufaa na mafanikio ya waraka wa Mkakati wa Mabadiliko uliosababisha kuvuliwa vyeo ndani ya Chadema kwa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe na wanachama Kitila Mkumbo na Mwigamba kufukuzwa.

Juhudi za kundi la Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo na Mwigamba na wanachama wengine kupitia hoja zao na maandishi ndizo ziliwasukuma viongozi wakuu wa CHADEMA kununua vitendea kazi kwa ajili ya viongozi wengine nchini.

Bila waraka na hoja za kundi la mabadiliko ndani ya CHADEMA, hata hivi vitendea kazi visingepatikana!. Kwa lugha nyingine, hii ni hongo/rushwa kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu na Baraza Kuu la CHADEMA ili liwachague tena viongozi wakuu hasa Mwenyekiti wa Taifa na Katibu Mkuu.

Kufa kufaana!
 
Tunashukuru kwa taarifa kamanda, la msingi tufahamishe tenda ya hizo pikipiki ilipewa kampuni gani.

Tupe mchanganuo wa gharama za pikipiki ni kiasi gani cha pesa kimetumika.

Tunasubiri taarifa kamanda.

ili mwende kuiblock kupitia chama chenu rafiki cha kikomunust
 
Jambo jema sana kwa ustawi wa Chama;hongera katibu mkuu Dr Slaa kw mipango madhubuti
 
Haya ndiyo manufaa na mafanikio ya waraka wa Mkakati wa Mabadiliko uliosababisha kuvuliwa vyeo ndani ya Chadema kwa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe na wanachama Kitila Mkumbo na Mwigamba kufukuzwa.

Juhudi za kundi la Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo na Mwigamba na wanachama wengine kupitia hoja zao na maandishi ndizo ziliwasukuma viongozi wakuu wa CHADEMA kununua vitendea kazi kwa ajili ya viongozi wengine nchini.

Bila waraka na hoja za kundi la mabadiliko ndani ya CHADEMA, hata hivi vitendea kazi visingepatikana!. Kwa lugha nyingine, hii ni hongo/rushwa kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu na Baraza Kuu la CHADEMA ili liwachague tena viongozi wakuu hasa Mwenyekiti wa Taifa na Katibu Mkuu.

Kufa kufaana!

yaani wangekuwamo wale wasaliti, habari zingevuja kabla ya kutengenezwa, ccm na vyombo vyake wangetumia njia mbalimbali mzigo usije hadi baada ya uchaguzi
 
Jambo jema sana kwa ustawi wa Chama;hongera katibu mkuu Dr Slaa kw mipango madhubuti ya kukifanya Chama kiwafikie wananchi kirahisi
 
Mkuu unaweza kutufahamisha kiduchu gharama za hizo pikipiki kila moja imegharimu kiasi gani.

Tufahamishe wewe gharama za mahindra na land cruiser zilizoingizwa na ccm mwaka 2005 na 2010.je zililipiwa ushuru kiasi gani?
 
Haya ndiyo manufaa na mafanikio ya waraka wa Mkakati wa Mabadiliko uliosababisha kuvuliwa vyeo ndani ya Chadema kwa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe na wanachama Kitila Mkumbo na Mwigamba kufukuzwa.

Juhudi za kundi la Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo na Mwigamba na wanachama wengine kupitia hoja zao na maandishi ndizo ziliwasukuma viongozi wakuu wa CHADEMA kununua vitendea kazi kwa ajili ya viongozi wengine nchini.

Bila waraka na hoja za kundi la mabadiliko ndani ya CHADEMA, hata hivi vitendea kazi visingepatikana!. Kwa lugha nyingine, hii ni hongo/rushwa kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu na Baraza Kuu la CHADEMA ili liwachague tena viongozi wakuu hasa Mwenyekiti wa Taifa na Katibu Mkuu.

Kufa kufaana!

Na mtasema yote mwaka huu, na hivi madhara ya hizi pikipiki hayajaanza kuonekana kwenu mnapiga kelele namna hii sijui pindi yakianza kuonekana itakuwaje ngoja tusubiri

Ila kila mtu anajua huwezi ktk taasisi kubwa kama Chadema kuamka na mpango leo na siku hiyohiyo mpango wenu kutimia hilo ni jambo ambalo ni gumu. Mpango wa kununua hizo pikipiki ulipangwa kwenye vikao halali vya chama hicho kipindi kile ambacho hao unaodai wafukuzwa baada ya kudai hivyo vifaa kununuliwa wakiwa ni wajumbe wa vikao husika na walishiriki kupisha maazimio ya mipango hiyo

Sasa kama ktk kipindi ambacho hawa watu wamefukuzwa, unaweza kutoa order ya pikipiki zaidi ya 200 kiwandani na zikatengenezwa na kusafirishwa ndani ya muda huohuo na hatimae kuwasili nchini sisi hatujui huwenda wewe unajua zaidi. Ila kitu ambacho kiko wazi ni kwamba kusafirisha hizo pikipiki kwa njiaw ambayo imetumiwa na Chadema (usafiri wa maji) itakuchukua si chini ya miezi miwili achia mbali kutengeneza na kuzipakia kwenye contena na hatimae kwenye meli. Labda wewe utujuze hapa kwamba zile computer mlizohongwa na wale wachina mlitumia muda gani kuomba na hatimae zikawasili hapa nchini tena nakutaka ukumbike kwamba tule ni tucomputer tuchache sana ambato wachina waliingia dukani na kununua na kukutumieni (hawakuingia kiwandani kutengeneza) kama ilivyo kwa pikipiki za Chadema ambazo zimefungwa vipaza sauti speakers na mambo mengine yatakayo mrahisishia muhutubiaji kuifanya kazi yake bila usumbufu.

BACK TANGANYIKA
 
Back
Top Bottom