"Ingieni msituni sasa" una maana ipi?
swali hili linapatiwa majibu na mh.komba
"Ingieni msituni sasa" una maana ipi?
mana wanachofikiria ni kuanzisha vurugu pale chadema inapostawi ili cdm ionekane chama ya vurugu
"Ingieni msituni sasa" una maana ipi?
Muheza hakuna chadomo wapo waganga njaaa waje wawaone
muheza chadema ipo kweli ? haya maajabu