Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Wanajamvi habari zenu,
Kama mjuavyo tunaelekea kwenye uchaguzi wa vijiji na vitongoji nchi nzima,taarifa za CHADEMA Muheza mpaka sasa wana chadema Muheza wamejitokeza kugombea,mpaka sasa nusu ya vijiji 74 na vitongoji 521 wagombea zaidi ya mmoja wamejitokeza kwa kutia nia ya kugombea.
Hapa CHADEMA inaimarika Muheza kwa nguvu sana huku hatua ya kura ya maoni kuchagua anayefaa kugombea kati ya walioomba ikisubiri mchakato wa chama kwa mujibu wa kanuni,taratibu,miongozo na katiba ya chama!
Mchakato unaendelea kukamilisha zoezi hilo ikienda sambamba na kuhamasisha watu wakajiandikishe kupiga kura.
Kama mjuavyo tunaelekea kwenye uchaguzi wa vijiji na vitongoji nchi nzima,taarifa za CHADEMA Muheza mpaka sasa wana chadema Muheza wamejitokeza kugombea,mpaka sasa nusu ya vijiji 74 na vitongoji 521 wagombea zaidi ya mmoja wamejitokeza kwa kutia nia ya kugombea.
Hapa CHADEMA inaimarika Muheza kwa nguvu sana huku hatua ya kura ya maoni kuchagua anayefaa kugombea kati ya walioomba ikisubiri mchakato wa chama kwa mujibu wa kanuni,taratibu,miongozo na katiba ya chama!
Mchakato unaendelea kukamilisha zoezi hilo ikienda sambamba na kuhamasisha watu wakajiandikishe kupiga kura.