Recent content by riwaki

  1. riwaki

    Tangu nigundue tabia za mume wangu sina hamu nae tena

    Aisee nimesoma hapo aliposema kumtimua huruma ikaniisha kabisa huenda tabia yako ndiyo inampeleka mumeo kufanya hivyo jitafakari kwana ndiyo ufanye maamuzi. Wewe unaweza jikuta unatimua kila mwanaume.
  2. riwaki

    Ukitaka maneno MMU, zungumzia swala la Bikra

    Ha ha haaaa duuu la pili.
  3. riwaki

    Wanaume hawapendi wanawake wa aina hii

    Mimi nimemwelewa vizuri tuu anachomaanisha yeye usiwe mjuaji saaaaana hayo peleka darasani.
  4. riwaki

    Bunda: Wenye mabucha wote wasitisha huduma ya kuchinja

    Aa waacheni wataanza kuchinja wenyewe gongeni kuku, Samaki ,Dagaa ,Majani watanyooka wenyewe.
  5. riwaki

    Nilichokikuta baada ya kupekua chumbani kwa dada wa kazi

    That's Good na wewe ndiye mzazi unayejua namna ya kukagua mji wako kama hukuwa na nia mbaya wee mwambie tuu wife ulichoona ila swala la soksi potezea chukua soksi zako ili wife aweze kumsaidia nawasilisha.
  6. riwaki

    Natafuta mwanamke wa miaka 37-43

    Mimi ni kijana ninajitegemea na kipato cha wastani nahitaji mwanamke mwenye miaka tajwa hapo juu wa kudate naye mimi nina miaka 31 hawa wa chini wengi wao sivutiwi nao kwa aliye tayari ani PM
  7. riwaki

    Asante Whatsapp umenipatia mpenzi

    Hivi huoni hata aibu kueleza jinsi akili yako ilivyo kweli one year kwa style hii mtaliwa sana daah kuweni makini.
  8. riwaki

    Ukiolewa bila bikra ujue mwenzio anakuchukulia ulikuwa malaya

    Daaaa kweli kabisa mtoa mada yaani mwanamke anayetaka kuolewa na hana bikra ni hovyo kabisa
  9. riwaki

    Nina ugonjwa wa kuiba chupi za wanawake

    Aiseeeeeee kuna mahali tulikuwa tumepanga sasa wanawake huwa wanatabia ya kuanika vyupi njee walikuwa wanasema wakianika hawazikuti maana hapo kwenye hiyo plot na mm nilikuwa na wa kunipoza basi kutakuwa na aliyekuwa na tabia ya kuzichukua daah
  10. riwaki

    Aibu kwa TBC1 na Taifa kiujumla

    Hivi huko mnatafuta nn mimi hata mwanangu wa 3 years haipendi tbc kabisa huwa anaangalia ubongo kids tuu kwisha.
  11. riwaki

    House girl kufua boxer zangu ni sawa kweli?

    Duu pole huna mke huyo aliyekuwa anakufulia boxer ndiyo halali yako mtafute umshukuru kwa kumpa dushe ili akikumbuka asione kinyaa mtafute asee.
  12. riwaki

    Dr. Pombe Magufuli, ashindwa kutokea kwenye Mdahalo wa Urais wa Tanzania

    Nasema nitakuwepo na nipo tayari ninasema kweli tena msema kweli mpenzi wa Mungu SITAWAANGUSHA NDUGU ZANGU.
Back
Top Bottom