Asante Whatsapp umenipatia mpenzi

Asante Whatsapp umenipatia mpenzi

Nimekua katika mahusiano na mkaka mmoja for a while now...

Kama mwaka,honestly speaking at first wakati tunaanza kujuana,sikua na nia nae kabisa..yaani hakua love at first sight,bt since nilikua single nikaamua tu kua nae...as days go by nikajifunza kupenda...kiukweli I regret,coz nilimpenda kupita Maelezo.

This guy has always been busy aisee...yupo dar nipo dar bt kuonana miezi inapita...at first nilijua ni ubusy wa kawaida tu coz as u know guys around 27 to 30 ndo maisha yanajengeka...ok Lt me go to the point now..

Kuna siku nipo home tu..kuna mtu akanitxt kupitia WhatsApp,kumuuliza Nani hanipi jibu straight so I decided hii dial niisave siku akiweka picha ntaona!sasa bwana siku ya birthday ya mchumba ikafika,si mnajua tena WhatsApp mara mpenzi awekwe na kawish Kwa chini..

I was just passing through my dials nikaona baby kawekwa na status juu happy birthday my sweetheart.. Kwenye ile namba iliyokua inanisumbua,I didn't waste time nikachukua ile namba...called it kupitia simu nyingine

Conversations ikawa hivi

Mimi: hello mambo
Yeye: Poa Nani
Mimi: Sorry nimeokota simu Ubungo ya mtu inaishia na namba 42 kakusave sweetheart nimeona nikupigia uje ufuate simu coz nimeona ww ni mtu wake ya karibu.
Yeye: Yah ni mume wangu

Trust me hakuna anayetaka kusikia this words..honestly niliumia Sana..n thought to myself.,y did I even learn to love this guy..one thing I have learnt,mwanaume akiwa busy kupita Maelezo kuna something behind..aisee nyie wanaume mnaumiza Sana.

Hvi kwanin mnakua hamna huruma, unamdanganya mtu mpka anakubali kukuweka moyoni n at the end of the day unajua kabsa hutokua nae!

Tittle haiendani na ulivomaliza vipi?
 
Nimekua katika mahusiano na mkaka mmoja for a while now...

Kama mwaka,honestly speaking at first wakati tunaanza kujuana,sikua na nia nae kabisa..yaani hakua love at first sight,bt since nilikua single nikaamua tu kua nae...as days go by nikajifunza kupenda...kiukweli I regret,coz nilimpenda kupita Maelezo.

This guy has always been busy aisee...yupo dar nipo dar bt kuonana miezi inapita...at first nilijua ni ubusy wa kawaida tu coz as u know guys around 27 to 30 ndo maisha yanajengeka...ok Lt me go to the point now..

Kuna siku nipo home tu..kuna mtu akanitxt kupitia WhatsApp,kumuuliza Nani hanipi jibu straight so I decided hii dial niisave siku akiweka picha ntaona!sasa bwana siku ya birthday ya mchumba ikafika,si mnajua tena WhatsApp mara mpenzi awekwe na kawish Kwa chini..

I was just passing through my dials nikaona baby kawekwa na status juu happy birthday my sweetheart.. Kwenye ile namba iliyokua inanisumbua,I didn't waste time nikachukua ile namba...called it kupitia simu nyingine

Conversations ikawa hivi

Mimi: hello mambo
Yeye: Poa Nani
Mimi: Sorry nimeokota simu Ubungo ya mtu inaishia na namba 42 kakusave sweetheart nimeona nikupigia uje ufuate simu coz nimeona ww ni mtu wake ya karibu.
Yeye: Yah ni mume wangu

Trust me hakuna anayetaka kusikia this words..honestly niliumia Sana..n thought to myself.,y did I even learn to love this guy..one thing I have learnt,mwanaume akiwa busy kupita Maelezo kuna something behind..aisee nyie wanaume mnaumiza Sana.

Hvi kwanin mnakua hamna huruma, unamdanganya mtu mpka anakubali kukuweka moyoni n at the end of the day unajua kabsa hutokua nae!

Umevamiaje mtu kwenye whatsapp
 
Ni moja ya sababu za uchumi wa Tz kudorora. Mambo ya msingi yanafanyika ki-WhatsApp WhatsApp. Tuna safari ndefu sana.
 
Nimekua katika mahusiano na mkaka mmoja for a while now...

Kama mwaka,honestly speaking at first wakati tunaanza kujuana,sikua na nia nae kabisa..yaani hakua love at first sight,bt since nilikua single nikaamua tu kua nae...as days go by nikajifunza kupenda...kiukweli I regret,coz nilimpenda kupita Maelezo.

This guy has always been busy aisee...yupo dar nipo dar bt kuonana miezi inapita...at first nilijua ni ubusy wa kawaida tu coz as u know guys around 27 to 30 ndo maisha yanajengeka...ok Lt me go to the point now..

Kuna siku nipo home tu..kuna mtu akanitxt kupitia WhatsApp,kumuuliza Nani hanipi jibu straight so I decided hii dial niisave siku akiweka picha ntaona!sasa bwana siku ya birthday ya mchumba ikafika,si mnajua tena WhatsApp mara mpenzi awekwe na kawish Kwa chini..

I was just passing through my dials nikaona baby kawekwa na status juu happy birthday my sweetheart.. Kwenye ile namba iliyokua inanisumbua,I didn't waste time nikachukua ile namba...called it kupitia simu nyingine

Conversations ikawa hivi

Mimi: hello mambo
Yeye: Poa Nani
Mimi: Sorry nimeokota simu Ubungo ya mtu inaishia na namba 42 kakusave sweetheart nimeona nikupigia uje ufuate simu coz nimeona ww ni mtu wake ya karibu.
Yeye: Yah ni mume wangu

Trust me hakuna anayetaka kusikia this words..honestly niliumia Sana..n thought to myself.,y did I even learn to love this guy..one thing I have learnt,mwanaume akiwa busy kupita Maelezo kuna something behind..aisee nyie wanaume mnaumiza Sana.

Hvi kwanin mnakua hamna huruma, unamdanganya mtu mpka anakubali kukuweka moyoni n at the end of the day unajua kabsa hutokua nae!

wadada mna matatizo pia. Nimekutongoza umenijibu NOOO... Umeona sikufai.
Nimepata mwingne, unakuja unaniita baby.
Sasa mi nifanyeje.
Sina namna, inabidi nifanye maamuzi magumu.
EXPERIENCED..!
 
Siku nyingine jifunze kutuweka akilini au mahali pengine popote...

Lakini huko moyoni subiri hadi utapopata mume ndio anayestahili kukaa huko...

Umeelewa??

Hahahahaaa think like a man and act like a woman raha sana huwezi kutana na shida kama za bidada.
Kwa sie tuliokubuhu haisumbui unakohoa unatema kohozi unafukia na mchanga unakanyaga unasonga mbele kwa mbelee........
 
Kasie wengine mioyo yao bado brand new haijawa bado na.matobo matobo...

Hivyo akimtia mtu huko ndani hata hachoropoki...

Hahahahaaa think like a man and act like a woman raha sana huwezi kutana na shida kama za bidada.
Kwa sie tuliokubuhu haisumbui unakohoa unatema kohozi unafukia na mchanga unakanyaga unasonga mbele kwa mbelee........
 
Hivi huoni hata aibu kueleza jinsi akili yako ilivyo kweli one year kwa style hii mtaliwa sana daah kuweni makini.
 
Back
Top Bottom