Wanaume hawapendi wanawake wa aina hii

Wanaume hawapendi wanawake wa aina hii

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
ImageUploadedByJamiiForums1447334929.303573.jpg

Ukiachilia mbali uzuri wa mtu, tabia yake, utanashati na mengine mengi, kila mwanaume ana ladha anayoitafuta kwa mwanamke anayemtaka. Hii inatofautiana kati ya mtu na mtu, siwezi kuongelea nini mwanaume anatafuta kwa mwanamke, ila najua kuna aina Fulani za wanawake wanaume wengi hawapendi kuwa nao.

Waongeaji Sana

Wanawake wa maneno mengi, wanaume hawapendi mwanamke mropokaji. Wanawake wa aina hii huwa hawajui nini waongee na nini wasiongee au wakati gani wa kuongea na wakati gani wa kunyamaza. Watu wa aina hii hawajui kuuliza, wao wanafoka tu mwanzo mwisho.
 
Unavyogeneralize mambo ni vizuri ukawa una reserve some percentages za wrong perception zako hasa ukizingatia unaongeleaa behavioral change!

Unasema wanaume usipoweka hata geographical location unakuwa unamaanisha dunia nzima kwahiyo kuna vitu vingi haujazongatia wakati unapost hii kitu Mkuu.
 
Sasa jamani na nyie muwe mnajitahidi kutokutuudhi kwa makusudi basi jamani! Khaa!
 
Unakuwa na mavuvuzela ya kutosha maana wakati mwingine hamsikii
 
Alafu kuna wanawake wengne wakununa nuna mda wote, daaah wanankera sana. Ukimpata mwanamke wa aina hii ujue kutafta mchepuko kuna husika sana
 
Wenzio wanapenda.
Yaani anajisifu Mke wangu anaongea kama kameza CD.
One man's trash is another man's treasure.
 
Jaman dunia hii inachosha sana!

Niliwahi kuwa na bf akinikwaza siuliz anashuhudia tu machozi, na ki ukwel nikishalia ndo napata relief na hasira inaisha maisha yanaendelea! Kumbe ilikuwa inamtesa eti hadi nimseme! ! ! Ndo anapata amani ,
So kuna watu wanapenda mavuvuzela

Mungu ampumzishe anapostahili!
Alipataga ajali akatangulia tungali na mahusiano! Duuuuh! Haielezeki
 
Dawa ya mwanamke muongeaji ni ndogo sana.we akiongea fungulia tv au radio mpaka mwisho halafu unamwacha hapo.
 
pia wanaume hawapendi wanawake wachafu wasiopenda kuosha kule "sengerema" kwa ngereja
 
Unavyogeneralize mambo ni vizuri ukawa una reserve some percentages za wrong perception zako hasa ukizingatia unaongeleaa behavioral change!

Unasema wanaume usipoweka hata geographical location unakuwa unamaanisha dunia nzima kwahiyo kuna vitu vingi haujazongatia wakati unapost hii kitu Mkuu.

Mimi nimemwelewa vizuri tuu anachomaanisha yeye usiwe mjuaji saaaaana hayo peleka darasani.
 
Ila kusema ukweli mimi mke wangu akisafiri huwa namiss gubu lake kweli kweli ,mi nadhani dawa ni kuzoea tabia ya mwenzako badala ya kuichukia ili mambo yaende sawa, lasivyo kila mtu anatabia zake kikubwa zisiwe zenye madhara mfano tabia ya kutoka nje ya ndoa mengine yote tupa kuleeeee.


View attachment 305349

Ukiachilia mbali uzuri wa mtu, tabia yake, utanashati na mengine mengi, kila mwanaume ana ladha anayoitafuta kwa mwanamke anayemtaka. Hii inatofautiana kati ya mtu na mtu, siwezi kuongelea nini mwanaume anatafuta kwa mwanamke, ila najua kuna aina Fulani za wanawake wanaume wengi hawapendi kuwa nao.

Waongeaji Sana

Wanawake wa maneno mengi, wanaume hawapendi mwanamke mropokaji. Wanawake wa aina hii huwa hawajui nini waongee na nini wasiongee au wakati gani wa kuongea na wakati gani wa kunyamaza. Watu wa aina hii hawajui kuuliza, wao wanafoka tu mwanzo mwisho.
 
Back
Top Bottom