Recent content by Rivarcardo

  1. R

    Wimbo wa roho yangu uliimbwa na nani?

    Heshima kwenu wadau wa jukwaa hili, Najitokeza kuulizia wimbo wa zamani kidogo jina lake limenitoka ila nakumbuka baadhi ya mistari yake ilikuwa 'samahani mama usiitoe mimba yangu naomba uinusuru roho yangu',sikumbuki jina la mwimbaji ila idea ya wimbo nilikuwa mtoto, anamuomba mama yake...
  2. R

    Jerry Silaa amesahaulika ama ni upepo?

    Jerry slaa yuko law school of Tanzania,intake yao yuko na Julius mtatiro,Felix mkosamali,
  3. R

    Yuko wapi Alex Ngussa wa RFA?

    Alex Ngussa ni miongoni mwa watangazaji bora kuwahi kutokea nchini Tanzania, kwa waliowahi kumsikia akiwa katika ubora wake Redio Free Africa, mwanzoni mwa miaka ya 2000,watakubaliana na mimi. Alikuwa akitia nakshi kwa matumizi yake ya lugha adhimu ya kisukuma.Ni muda mrefu sijamsikia na...
  4. R

    Jinsi ulivyomtongoza mkeo au mwenza wako

    Wa kwangu ni jirani yetu kabisa,home kuna shop sasa siku moja alikuja dukani kwetu akanikuta nikampa hai nakumuomba namba akanibania.Sikukata tamaa next time beki tatu wao Alikuja shop,mwanaume nikaandika namba zangu kwenye gazeti nikampa beki tatu wao akampatie mtoto,baadae akanitafuta...
  5. R

    Wanawake wengi ni wavivu kitandani

    Ni ukweli uliodhahiri kuwa mahaba au kitendo cha kujamiiana(kwa watu waliokidhi vigezo kama ni Mke na Mme au wachumba ama wapenzi walio zaidi ya miaka 18)ni sanaa,ni tendo ambalo huhitaji utulivu wa hali ya juu na ufundi maana ni kitendo adhimu ambacho hubeba maana kamili ya mapenzi na ndoa...
  6. R

    Renatus Mkinga: Watanzania msipeleke watoto wenu Kenya na Uganda, wanaenda kulawitia

    Ni Kweli wengi wa mashoga kwa sasa wako vyuoni,ukifuatilia ni shuleni huko
  7. R

    Sitaki dawa

    Hii tabia ya kupima HIV kwa mtu ninayo sana,Mwaka Jana my girlfriend alipima akawa HIV-,Hapa katikati nimeuza mechi kibao za hatari,Mchepuko ukaniambia umepima nao ni HIV-,Juzi kati my Gf akawa anaumwa,sikuwa na amani,na bado hajapima,ila sina imani!
  8. R

    Mume anakuruhusu uzae na mwanaume mwingine, huu ni mtego ama?

    Hayo mambo yapo sana Tangu zamani,Niliwahi kuhadithiwa na Marehemu bibi yangu,Babu yangu mdogo(Shemeji yake na Bibi yangu)Hakuwa na uwezo wa kuzaa so kuna mtu alimzalisha Mke wake watoto kama saba,But watoto hawakuwahi kujua na Mpaka kesho anawalea!!Zamani yalikuwa siri,ilikuwa kama mtu hana...
  9. R

    Wanaume, kwanini mnapenda kuoa mwanamke mwenye bikira?

    Mimi sijawahi kuwa muumini wa bikira,!!niache kutafuta ridhiki,nitafute bikira??Mawazo ya kutafuta bikira huwa sahihi kama unakula kwa wazazi,hulipi luku zaidi ya kujiunga na university promo
  10. R

    Kwanini ukilala na mwanamke usipompa hela asubuhi anakudharau sana?

    Ukiona kakudharau,ujue hukumkaza vizuri!!Ukimgusa vizuri usiku,asubuhi anatakiwa asahau hata kufuli lake,sasa wewe unamgusa mgusa tu mpaka anapata nguvu ya kuwaza hela?ukimpakua vizuri hadi lodge atalipia,sio unampaka tu,anapata hadi nguvu za kupiga selfie?hela huna,hata nguvu za kuwachapa huna??
  11. R

    Dini na kabila vina mchango gani katika mahusiano?

    Kwangu DINI ni suala la kawaida sana,Nimezaliwa kwenye familia ambayo Mama yangu ni Mkatoliki,Baba yangu anasali AICT!!Kwetu dini sio issue,kwenye kabila Mimi sio muumini sana wa kabila,though Niko kwenye mgogoro na mama yangu hataki nimuoe mchumba wangu wa kichaga!!Lakini ntamuoa tu Mchaga...
  12. R

    Wanaume: Huwa mnasahau nini kwa ma-ex zenu?

    Kiukweli mm siwezi kukumbushia na EX wangu kamwe!!Hata mazoea hayafai
Back
Top Bottom