Recent content by Risk takker

  1. R

    JamiiForums Tanzania Ramani, makadirio, Elimu na ushauri kuhusu Ujenzi

    Mfumo wa Umeme na Maji tayari Kiongozi.
  2. R

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha Viazi Mviringo (Viazi Ulaya) na Masoko Yake

    Habari ndugu zangu ,Tunapatikana Mbeya Vijijini kwa mahitaji ya viazi mviringo aina ya Obama ,Wasiliana nasi ,Gunia kwa sasa bei ni sh 30,000 ,Unafika mpaka shambani unaangalia viazi ukilizika/ukivipenda tunafanya biashara ,Kwa wahitaji njoo DM tuongee nikupe na mawasiliano yangu.
  3. R

    JamiiForums Tanzania Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

    Kaka dawa pekee inayosaidia kupunguza na kutibu kabisa huu ungonjwa Vidonge 1.Acyclovir Kwa kupaka 1.Scaboma 2.BBE Utakuja kuleta mlejesho hapa.....
  4. R

    JamiiForums Tanzania Waomba ajira watengwa kwenye usaili

    Mkuu unafanya kazi B.O.T nn ....Maana now kwa Jinsi hali ilivyo kuna watu wanatamani hata mshahara wa Laki 1...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Kazi ya Mtendaji wa kijiji ina majukumu yapi?

    Mkuu upo Tanzania kweli yaani hujui hata Mtendaji wa kijiji o Mtaa kama analipwa mshahara .....
  6. R

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Hilo tatizo lilinisumbua sana kipindi naanza kufuga kuku solution ni hizi 1.Akikisha kuku wako anahatamia bila kupata bugudha ya kuku wengine hii inasababishwa endapo utakuwa na kuku wengi wanaokaa kwenye banda dogo. 2.Weka dawa ya kuua wadudu kwenye viota vyao coz wadudu husumbua kuku na...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini vijana wengi wa chuo huwaza kujiajiri, lakini siku zinavyosonga hujikuta kulilia ajira

    Vijana wengi tunapenda sana kujiajiri lakini swala la kujiajiri sio jambo dogo kama tunavyoambiana humu kwenye majukwaa ni kitu kinachoitaji utayari wa akili na mwili, so siku za hivi karibuni watu wanataka kujiajiri kwa sababu mtu fulani kajiajiri akafanikiwa, Kujiajiri kuna changamoto nyingi...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Usaili wilaya ya Mbalala katika kazi ya mtendaji kijiji. Kuna mwenye taarifa ya siku ya usahili?

    Kama mtoa post anamaanisha Mbarali wameita tayari bt kama Mbalala sijui kwa kweli ...Maana kwenye post kaandika mbalala zen chini kaandika mbarali
  9. R

    JamiiForums Tanzania Usaili wilaya ya Mbalala katika kazi ya mtendaji kijiji. Kuna mwenye taarifa ya siku ya usahili?

    Mkuu mbarali rujewa usahili tarehe 30/09
  10. R

    JamiiForums Tanzania MSAADA: Sehemu ya ku attach cover letter kwenye recruitment portal.

    Natumai ni wazima wa afya 1. Naomba msaada wenu sehemu gani yaku attach cover letter kwenye recruitment portal ? 2. Cover letter hizi tunaandika kwa mkono au tunachapa?
  11. R

    JamiiForums Tanzania Msaada; Kuku kuchangia kiota kimoja cha kutagia

    Asante mkuu ntafanya hivyo.
  12. R

    JamiiForums Tanzania Msaada; Kuku kuchangia kiota kimoja cha kutagia

    Niwatakie Jumapili njema, Kuna tatizo linanisumbua kutokana na kuku wangu wa kienyeji kutaga sehemu moja kwa pamoja (Kuku wawili hata watatu wanataga kwenye kiota kimoja). Nimejaribu kuweka viota vingi kwa ajili ya kutaga lakini bado wanalundikana kwenye kiota kimoja. Naombeni msaada wakuu...
Back
Top Bottom