iPhone sio simu za vilaza
Kwanza iPhone ukishaiweka loak ndio basi Tena hakina mtu wa kuifanya lolote yaani ukiiba au ukiokota iPhone ww mpe mwanao wa miezi mitatu aigeuze toy hawa jamaaa wapo sicurity kinoma saiv OS12 hata screen used huwezi kuuza yaani haitokubali kwenye iPhone nyengine nazani...
Hakuna kiongozi wala raisi wa kukuletea chakula kukupa kazi kisa ulimpigia kura
Fanyeni kazi ili mpate chakula
Wacheni kulalamika watoto wa kiume fanyeni kazi tuijenge nchi yetu 🤪🤪🤪🤪
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.