kashanga wewe ni ******.**** la mama yako. unaleta mambo gani kuku wewe.imeniuma sana na nimelazimika kukutukana kwa sababu hasira ikizidi uvumilivu unakwisha. nisamehe kwa kukuambia ukweli.
Bado sijamjua vizuri huyu BIlali Hebu mnikumbushe nafasi ya yake katika uongozi wa taifa yeye ni nani na utambulisho wake ni upi?mnisamehe kwa kuomba kumjua bilali
ni furaha gani ya ajabu tutaipata watakapo amua kuifuta chadema. futa hata kesho kwani itatupa hari ya kuupata ukombozi wa kweli na tutaingia barabarani bila wasiwasi wowote tunaomba waifute ili watupe nia ili tuweze kuandamana kwa amani
hadi huyu muwaza ngono kaweza kufikiri na kujua sababu ya watu kukikataa chama chake?basi ugumu wa maisha ni kipimo cha akili. CHADEMA endelea kukaza buti tutafika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.