Mbona makamba ametulia kiasi hicho.

RICHMAHOO

Member
Jan 15, 2011
49
14
Washikaji wapi makamba mbona asikiki? au kamuachia mwanae januari makamba aropoke kwa niaba yake. wana jf naomba mtujuze alipo huyu popo bawa.
 
inaonekana kapewa onyo asiwe anaongea ovyo ovyo na muda wake unaisha so anajifanya mlokole ili aongezewe ulaji.
 
nimeshangaa sana kuona katibu mkuu wa ccm kukaa kimya kihivyo hivi amzima kweli au anaumwa?
 
Back
Top Bottom