R RICHMAHOO Member Jan 15, 2011 49 14 Mar 8, 2011 #1 Washikaji wapi makamba mbona asikiki? au kamuachia mwanae januari makamba aropoke kwa niaba yake. wana jf naomba mtujuze alipo huyu popo bawa.
Washikaji wapi makamba mbona asikiki? au kamuachia mwanae januari makamba aropoke kwa niaba yake. wana jf naomba mtujuze alipo huyu popo bawa.
figganigga JF-Expert Member Oct 17, 2010 25,492 54,890 Mar 8, 2011 #2 inaonekana kapewa onyo asiwe anaongea ovyo ovyo na muda wake unaisha so anajifanya mlokole ili aongezewe ulaji.
inaonekana kapewa onyo asiwe anaongea ovyo ovyo na muda wake unaisha so anajifanya mlokole ili aongezewe ulaji.
R RICHMAHOO Member Jan 15, 2011 49 14 Mar 8, 2011 Thread starter #3 nimeshangaa sana kuona katibu mkuu wa ccm kukaa kimya kihivyo hivi amzima kweli au anaumwa?
Kichwa Ngumu JF-Expert Member Nov 6, 2010 1,726 312 Mar 8, 2011 #6 Kunatetesi wanataka kumtosa u KM wa chichiem
NICK2275 JF-Expert Member Oct 31, 2010 3,931 918 Mar 8, 2011 #8 hana hoja-hana jipya-ngoja azidi kukaa kimya