kinachoendelea sasa hivi Meatu kwa CCM ni maigizo hivi sasa gari ya matangazo ya CCM linapita maeneo mbalimbali ya wilaya ya Meatu ikiwatangazia wananchi kuwa kesho 12/9/2015 mgombea uraisi wao atakuwepo meatu kwa hiyo wananchi wanaombwa kujipanga barabarani haswa centre kutawepo gari za kubeba...
ushauri wangu kuhusu bandle ya internet mmepunguza sana na ofa za dakika chache mno ukilinganiza na mitandao nyingine kama airtel napenda sana vodacom lakin naelekea kukata tamaaa sana jaribuni kurekebisha tena sitasahau my number one ilipendwa sana na watu wengi sana lakini saiz hakuna ofa ya...
mimi naona joseph warioba hanamakosa amefanya kazi ya kusimamia maoni ya wananchi kwa maana kilocho pendekezwa ndani ya rasimu ya katiba ni maoni ya wananchi na siyo ya mh warioba cha msingi wanaomlala mikia joseph warioba hakuna maana kikubwa wafanyenye kila jambo tupate katiba mpya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.