Tujaribu kuingia YouTube tuandike hii kitu tione kweli haipo nimejaribu pia nikaona kimiminika fulan cheusi dizain kama oil mpya hivi wakasema no black mercury pia haipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasema hii mambo wadau huwa IPO live kabisa naamini mm nimewah yaona na kuyapata sehem ila sema aliyekuwa nayo ni bibi mmoja akasema yeye aliomba ya dawa hivyo hatoi sasa imajin haya yanamazingira gan
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiuhalisia haya man yapo tens yanapatikana ila ukiw mstarabu kuyatafta unapata inasemekana gram moja inaenda had USD mil 8~ but inshu kubwa kweli nikuiata hebu tizama kidogo video hiyi
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani naona watu kibao wanaparangana kutafuta haya maji ya mwamba. Sasa naomba kuuliza, pia mmoja ama kama kunamtu anaconnection ya uhakika ya soko la hii kitu naomba tutafutane.
Kama wewe nitapel usihangaike, nahitaji watu wa ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Napenda kutumia nafasi hii kuwapa salam wote ninyi wahangaikaji ndani ya uzini huu special ,asallam,samahani naomba aliye na ujuz wa wakurefusha ndevu.ziwe ndefuu na Nene nyeusi tafadhil sana nataka kama za rick rose mwenye utaalam sana naomba nijuze hata kwa PM
Kunamdogo Wang kamaliza sec form four mwaka 2008 amesoma masomo ya arts na alipata D flat kwa masomo yote history, giografia, math, biology, kisw,civic, English, zote anaD atapata nafasi
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.