richald j.donald
Member
- Jun 3, 2013
- 14
- 9
Kama mtu ana vigezo hasa kwenye masomo lakin hana kitambukisho cha kura, taifa wala cha Zanzibar atapata mkopo?Karibu kwa Maswali utajibiwa.
Mbona TCU wameandika watu 70??????Hapana na si kweli. Admission capacity ya Chuo cha Maji ni Wanafunzi 300 kwa Bachelor kila mwaka.
Kwa matokeo haya o level math B chemistry B+ physics C biology B....na advance.. Ni physics D chemistry D adv/math E je possibility ya kupata chuo cha majii IPO in bachelor???
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona TCU wameandika watu 70??????
Kwa matokeo haya o level math B chemistry B+ physics C biology B....na advance.. Ni physics D chemistry D adv/math E je possibility ya kupata chuo cha majii IPO in bachelor???
Kwa matokeo hayo anapata tena vzr kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mtu ana vigezo hasa kwenye masomo lakin hana kitambukisho cha kura, taifa wala cha Zanzibar atapata mkopo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwann msimshauri aende VETA ku clear na ku build foundation thereafter aje apo Maji na NTA level 5 certificateKwa ufahuru wa F ya Mathematics hatutaweza kumchukua. Asante.
Vipi kuhusu wanafunzi ambao wanachaguliwa directly hapoTulishapeleka taarifa kwa ajili ya ku-update kitabu chao. Kwa mfano, mwaka wa Masomo 2016/17 tulisajili wanafunzi wa Bachelor 241 ambao ni zaidi ya mara 3 ya hiyo Admission uliyoisema. Karibuni sana.
Nashukuru mkuu acha nitumeMkopo kwaajili ya kusoma Diploma au Bachelor? Kama ni Diploma, haiwezi kua sababu ila tu kama ataambatanisha viambatanisho vyote vilivyohitajika.
Si usome kwenye form zao mkuu...! acha kupenda kitongamh.samahani naomba unijuzee viambatanishii vinavyohitajikaa kuapply ngazii ya diploma nakusubilia unijibu humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Taratibu za Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), majibu yatatangazwa pale deadline itakapofika na tutakapo watumia majina na sifa za applicants na wao kuyapitisha.Majibu yanatoka lini kwa tulioapply bachelor of water resources&irrigation engnearing mwaka huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka Diploma mwisho ni 20 sept...?Kwa Taratibu za Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), majibu yatatangazwa pale deadline itakapofika na tutakapo watumia majina na sifa za applicants na wao kuyapitisha.
Ila kwa ngazi ya Diploma tumeshatoa Batch ya kwanza na ya pili.
Maombi ya kujiunga na Chuo cha Maji bado yanapokelewa hadi Tarehe 20 September 2017.