Recent content by rich seaker

  1. R

    Jitahidi mwanao asisome masomo ya Sanaa

    Life depends on how u exercise your mind,, kama kupata ajira labda lakini kama ni kuhusu maisha mazuri yeyote yule hata asiyesoma anaweza akawa nayo,,muhimu ni kuwa na plan,, kupigana bila kuchoka muhimu kujua tu unapigania nin,,
  2. R

    "Adui hataona Maiti Ya mwenye haki" Mungu anaandaa Meza machoni pa Maadui wa Gwajima

    Hapo mkuu maada yako imekaa kimipasho na majungu,, sema sababu umewataja na Akina Daudi na goliati ndio maana inaonekana kawaida ila ni mipasho mitupu,, hapo lengo lako ni nin hasa,,?
  3. R

    Kwanini watanzania wengi wana majungu na fitina?

    Sio watanzania tu, lakini kwasababu swali ni kuhusu Tanzania sababu kubwa ya sisi kupiga majungu ni kukosa upendo,, mtu yoyote aliyekosa upendo atakuwa mtu wa majungu, atakuwa mtu wa Chuki, hata penda maendeleo ya mwenzake, tuwe na upendo, tuwe watu wa haki,
  4. R

    Ushenzi wangu na utukufu wa uungu wa Mzungu!

    Namuamin Mungu siku zote, acha nionekana lofa, hakuna Mungu wa mzungu wala wa Africa ila cha msingi nilichopata kwako ni kimoja tu,, ni upuuzi kuuana kisa dini, Mungu ni mmoja dini ni mfumo tu wa maisha
  5. R

    Eh Mungu muondole mtoto huyu maumivu!!

    Hakuna neno gumu kwa Mungu,, wala hakuna kinachoshindikana kwa Mungu,, Amen
  6. R

    Soda za kampuni ya Coca Cola si salama tena, angalia picha

    Inawezekana ni kweli kuna uzembe au kuna fitina za biashara,, kwamba wewe ukawa upande wa kampun pinzani but all in all kuchukua hatua kwa mtumiaji ni muhimu
  7. R

    Msaada: Airtel University offer

    Hii ya Airtel sio lazma uwe karibu na chuo ukipata ile vocha yao popote pale unajiunga,, kuna ya siku na wiki mi nimeweka ya wiki 1500 ni GB 1 sms za kuzidi na Sipo karibu na chuo,, Mb 8 nazisikia kwa majirani tu
  8. R

    Clouds FM acheni Utoto

    Ngoja ni tune 87.8 clouds fm,,, nipate burudani naikubali sana hii media,
  9. R

    Clouds FM acheni Utoto

    Wamechangia damu juzi karume nao sio upendo mkuu,,?
  10. R

    Faida ya kuwa na uume mdogo, biological advantages - A scientific research

    Haaa Haaa Haaa japo umenidhalilisha lakini pia umenifurahisha eti team vibamia vina classes mi sizijui hizo class ila mi ni kabamia strong,, kipenyo cha kibamia changu ni sentimeter 3.9 iki erect
  11. R

    Faida ya kuwa na uume mdogo, biological advantages - A scientific research

    Ile mambo mautundu tu bila kujali team bamia au team muhogo,, unaweza kuwa team muhogo afu mkeo akachepuka vile vile,,, vibamia 4 real
  12. R

    Faida ya kuwa na uume mdogo, biological advantages - A scientific research

    Nimeipenda topic imenifariji sana mimi na vibamia wenzangu Ila naona team miwa/team mihogo/team punda wamepanic wakati hata hakuna ushindani,,, najivunia kuwa team vibamia sababu naweza fanya mwanamke akawa mjamzito vile vile
Back
Top Bottom