Life depends on how u exercise your mind,, kama kupata ajira labda lakini kama ni kuhusu maisha mazuri yeyote yule hata asiyesoma anaweza akawa nayo,,muhimu ni kuwa na plan,, kupigana bila kuchoka muhimu kujua tu unapigania nin,,
Hapo mkuu maada yako imekaa kimipasho na majungu,, sema sababu umewataja na Akina Daudi na goliati ndio maana inaonekana kawaida ila ni mipasho mitupu,, hapo lengo lako ni nin hasa,,?
Sio watanzania tu, lakini kwasababu swali ni kuhusu Tanzania sababu kubwa ya sisi kupiga majungu ni kukosa upendo,, mtu yoyote aliyekosa upendo atakuwa mtu wa majungu, atakuwa mtu wa Chuki, hata penda maendeleo ya mwenzake, tuwe na upendo, tuwe watu wa haki,
Namuamin Mungu siku zote, acha nionekana lofa, hakuna Mungu wa mzungu wala wa Africa ila cha msingi nilichopata kwako ni kimoja tu,, ni upuuzi kuuana kisa dini, Mungu ni mmoja dini ni mfumo tu wa maisha
Inawezekana ni kweli kuna uzembe au kuna fitina za biashara,, kwamba wewe ukawa upande wa kampun pinzani but all in all kuchukua hatua kwa mtumiaji ni muhimu
Hii ya Airtel sio lazma uwe karibu na chuo ukipata ile vocha yao popote pale unajiunga,, kuna ya siku na wiki mi nimeweka ya wiki 1500 ni GB 1 sms za kuzidi na Sipo karibu na chuo,, Mb 8 nazisikia kwa majirani tu
Haaa Haaa Haaa japo umenidhalilisha lakini pia umenifurahisha eti team vibamia vina classes mi sizijui hizo class ila mi ni kabamia strong,, kipenyo cha kibamia changu ni sentimeter 3.9 iki erect
Nimeipenda topic imenifariji sana mimi na vibamia wenzangu Ila naona team miwa/team mihogo/team punda wamepanic wakati hata hakuna ushindani,,, najivunia kuwa team vibamia sababu naweza fanya mwanamke akawa mjamzito vile vile
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.