Soda za kampuni ya Coca Cola si salama tena, angalia picha

Soda za kampuni ya Coca Cola si salama tena, angalia picha

mnyasafake

Member
Joined
Feb 2, 2015
Posts
66
Reaction score
19
Ni hali ya kusikitisha sana kwa uzembe unaofanywa na kampuni ya coca cola katika suala zima la usafi na packaging. Jana nimefungua hiyo fanta passion nimekuta mdudu mfano Wa funza ndani, wiki iliyopita rafiki yangu alikunywa tangawizi ndani akakuta kisoda kimekunjwa kiko ndani.

Hali kama hio ni hatari sana kwa afya nafikiri hii kampuni anayeindesha ama anahujumiwa au hayuko makini. Mimi nathubutu kusema hizi sio soda sahihi kunywa.
 

Attachments

  • 1425969046154.jpg
    1425969046154.jpg
    17.7 KB · Views: 8,880
  • 1425969068435.jpg
    1425969068435.jpg
    15.9 KB · Views: 8,090
Ijapokuwa hujaandika vizuri ila umeeleweka hvyohvyo. Anyway, ukivifuatilia sana hivyo vinywaji namna vinavyotengenezwa, unaweza ucvitumie tena yani.

Ndo mana mm binafsi nimeacha kunywa soda for about 95%. Ni vyema kunywa maziwa au kuyanunua matunda na kuya-blend then kuitengeneza juice mwenyewe. Over!
 
Any way yawezekana ni kweli anachosema mtoa mada,au si kweli ni fitina tu! za kibiashara,lakini yote kwa yote wahusika wafanyie kazi habari hii,maana Lisemwalo lipo na km halipo basi lipo njiani linakuja.
 
acha kuharibu biashara za watu wewe

Si haribu boshara za watu wao ndio wanaharibu biashara yao.mbona sijasikia malalamiko makampuno mengine.namm yamenikuta mwenyewe sio hadith.watu kama nyinyi mkijaza nchi maendeleo yatachelewa sana.ukwel tuambizane
 
weeeee japo inaweza kuwa kweli bt weledi wa hii kampuni unajulikana kimataifa na umakini wao uko juu mara nyingi. Otherws unaweza kuwa umetumwa.
 
Umetumwa na azam eeeh?? tupe kinywaji mbadala basi, tuache coca tukanywe azam cola?? coca cola kampun ya kimataifa wewe!

Mm sasa HIV kinywaji mbadala no juice ya kujitengenezea tu mkuu.sijatumwa na MTU hayo matukio kwa macho yangu mwenyewe so naandika nikimaanisha
 
Jamani hii habari siyakuipuuza kwani anatukumbusha kuwa makini kabla ya kuruhusu kinywaji chochote kuingia vinywani mwetu.Ni mwezi umepita nilikuta karatasi ile ya lebo yamaji ya uhai ndani ya soda aina ya pepsi nanilikuwa nimeisha kunywa kidogo.Kila nikitafakari napoteza uchangamfu kabisa.Tuwe makini kabla ya kubwia haya mavitu
 
weeeee japo inaweza kuwa kweli bt weledi wa hii kampuni unajulikana kimataifa na umakini wao uko juu mara nyingi. Otherws unaweza kuwa umetumwa.

Angalia watu wanavyopost chupa zao so mm tu na mbaya zaid no hizo passion.pia haijalish inajulikana wapi swala tambua production yao inafanyika Tanzania na hiyo ndo halo iliyojitokeza.uzembe no wawatu tu wakiamua
 
Jamani hii habari siyakuipuuza kwani anatukumbusha kuwa makini kabla ya kuruhusu kinywaji chochote kuingia vinywani mwetu.Ni mwezi umepita nilikuta karatasi ile ya lebo yamaji ya uhai ndani ya soda aina ya pepsi nanilikuwa nimeisha kunywa kidogo.Kila nikitafakari napoteza uchangamfu kabisa.Tuwe makini kabla ya kubwia haya mavitu

Unaona mambo hayo mkuu hata mm nilikunywa paka halo ilipofikia nikakuta kafunza kamekauka humo ndani nilihis nyongo inatoka
 
Hili jambo ni la kawaida kabsa kwenye soda zote iwe za coca ama za pepsi ukiacha hilo la uchafu pia mchanganyiko wake.c mzr so nashauri.watu kutumia maji ama juic za kubrend mwenyewe
 
Back
Top Bottom