Ss wewe hizo shkamoo zak unataka uwanyime nn yaan hujaelewa t nikwanini wanaikataa hiyo salam ww hujiuliz mt unamuakia shkamoo anaitik poa hujui anamaanish nn
Unajua ww umekurupuk kupost huu uz ss sjui unataka ushauriwe nn ingali mweny makosa ww yaan ww unamkuta ex wak kila time yuko smart geto saf huo usaf ungetakiwa umfanyie ww ila km vip kinukish lakin itakukost kwasabab nimjinga wa fikra
%85 yawanaume wanatabia hiy unakuta mean kamtongoz dem mkali kinyam alaf akamchomolea baad ya siku unakuta anaaza kumuwekea bif ambaz hazina maan onyo wanaume msipende kuwa ving'asti Kwa madem ambao hawan hisia na nyinyi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.