Wadada: Mtunusuru na hizi picha zenu huko mitandaoni

Wadada: Mtunusuru na hizi picha zenu huko mitandaoni

niliwahi mtongoza msichana usiku mvaa hijab kumbe ni bibi sawa na bibiyangu magomeni mtaa wa Idrisa ilikuwa usiku, kesho yake nikamvizia tena usiku, kesho kutwa yake tukakuta tena kwenye yale matairi usiku, siku iliyofuata nikanunua ndom kabisa basi ndio siku gari ilipommulika usoni kumbe hata meno ya mbele hana, maskini mimi, nilitoka mbio..ilikuwa 1998
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
niliwahi mtongoza msichana usiku mvaa hijab kumbe ni bibi sawa na bibiyangu magomeni mtaa wa Idrisa ilikuwa usiku, kesho yake nikamvizia tena usiku, kesho kutwa yake tukakuta tena kwenye yale matairi usiku, siku iliyofuata nikanunua ndom kabisa basi ndio siku gari ilipommulika usoni kumbe hata meno ya mbele hana, maskini mimi, nilitoka mbio..ilikuwa 1998
Habari hazikuenea mtaani?
 
Kiongozi usipende kuhadithia story ilionipata mnamo 2015 nilikutana na kibushuti kilefu kwenda chini
 
Back
Top Bottom