Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
Si ndo hapoo . ..huyu ndo shunie ninayemfahamu mm![]()
![]()


huku tunaweza kula ban kwenye uzi wa watu
Si ndo hapoo . ..huyu ndo shunie ninayemfahamu mm![]()
![]()


huku tunaweza kula ban kwenye uzi wa watu
Hahaaaaa. Atajutraaaaa.Heheheee ukitoka hapa utakuwa umejuta kuleta hili jambo humu bora ungepambana nalo huko huko
NdioKuna uchumba huwa unaanza kabla ya kuwa wapenzi au marafiki?
Aisee! Chura mkuu ndo tatizo. Sina.Ngoja na mimi niongee na wewe kwa utulivu utanielewa ninavyokupenda!....ngoja nikueleze namna ninavyokupenda!![]()

Wakati wao wananyoosha miguu inachezewa na wasafisha kucha huku mipaja iko wazi kuosha miguu tu hawawezi wanampelekea mtu mwingine aichezee. Halafu analeta povu mtu kufuliwa boxa.....Hasira ni kwamba ameionesha hiyo boxer kwa mwanamke au?? Sijaona sababu ya kukinukisha hapo labda uwe wazi zaidi. Je, huyu mdada angelikuambia kuwa akija kutoka kazini huwa anamdugua (meseji) mgongoni hadi alale ndipo yeye huondoka bila kufanya kitu kwa kuwa ni fundi wa kazi hiyo tu. Ungelimfanyaje?? Kinukishe leo leo uende