Hili suala linanishangaza sana kuna magari MADOGO sana mengi kama vile vitz,starlet,ist,n.k.....Nini siri ya haya magari kuwa mengi dsm????
Naomba kujua??????[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Wakuu natumai ni wazima wa afya njema. ..
Natafuta blender ZISIZO TUMIA UMEME (mannual blender)
Naomba kujua bei yake pamoja na uwezo wake wa kufanya kazi...ukilinganisha na blender za umeme (electric blender )
Msaada wenu wakuu [emoji120]
Wakuu natumai ni wazima wa afya...
Naombeni msaada wenu nina millioni moja nahitaji kuanzisha duka dogo la madawa mhimu ya binadamu...
Je, ni taratibu zipi natakiwa kuzifuata ili niweze kuanzisha...
Vilevile kwa hicho kiasi cha pesa nilicho nacho chaweza kutosha?
Je, kuna haja ya kuweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.