Mshikaji wangu alimfanyia hii demu wake kwa vitu alivyo ona nusu afe kwa presha.
Ukweli ni mzuri wazee, ubinafsi na tamaa ndio vinatuponza. Wanawake wengi ndio wapinzani wa kushikiwa simu maana si waaminifu!Ukimchunguza bata.... !
Nimeweza ila Niki back nikirudi tena haikubali kufunguka inadai ni Scan tena jee nifanyeje ili Kila muda niweze kufungua hizo msg za hio wasap ya mtuHABARI ZA JIONI WATAALAMU WA JUKWAA HILI.
njia hii imekuwepo muda mrefu sana ila haikuwa kwa lengo lililo nifanya nianzishe uzi huu.
lengo la njia hii au utundu huu ilikuwa kwa ajili ya kuhamisha chat zako na kuweza kuzisoma ktk PC yako au kwa maneno mengine kuchat kwa kutumia computer.
sasa leo tuitumie njia hiyo hiyo kwa malengo tofauti na hayo niliyo taja hapo juu.
fuata hatua hizi
1. Ingia playstore kisha download app iitwayo
WhatsappWeb
2. Install ktk simu yako
3. Ifungue hiyo program
na utakutana na kitu kimeandikwa
USE whatsapp on your phone to scan the code
4. kisha chukua simu lengwa(hapa panaweza kuwa pagumu kidogo kama huna acces nayo basi hauta faniksha zoezi hili
ila fanya uwezavyo kuipata)
5.fungua whatsap yake na utakutana na chat zake kisa angalia pale juu kwenye kona ya kulia utakutana na vidoti vitatu
6. binyeza hapo utakutana na maandishi
whatsapp web, bonyeza hapo kisha itafungua sehem ya ku scan code(kama umewahi pita supermarket utajua hili.
7.hatua ya mwisho chukua simu yako uliyoinstall ile app na uiffungue italuletea hiyo cod iweke kwa nyuma ya simu lengwa kama mtu unaye taka kuipiga picha hivi
automatic itascan hiyo code na chat zake zitahamia kwako moja kwa moja.
ukifanikisha utaweza kufanya ya fuatayo bila yeye kujua
a.kusoma chat zake
b.kumbadilishia profile picture
c.kumbadilishia status
d.kuchat n.k
kifupi utakuwa umeimiliki wasap yake bila yeye kujua
nimeshindwa kuupload screenshots
PIA KUMBUKA KUDUKUA MAWASILIANO YA MTU NI KOSA KISHERIA.
KWENU MOD KAMA MADA HII ILIKWISHA WEKWA HUMU MNAWEZA KUIFUTA AU KUIUNGANISHA
ila tu iwe na maudhui kama haya ambayo yamekusudiwa katika mada hii.
nipo tayari kukosolewa.
Kazi kweli kweliArooo
Kuna App special,nitafute nikuelekeze.adi sauti unaona na kusikiaVipi kuhuc message za kawaida Hanna njia ya kujua pia
Find me inbox upate somoVipi kuhuc message za kawaida Hanna njia ya kujua pia
Nimeweza ila Niki back nikirudi tena haikubali kufunguka inadai ni Scan tena jee nifanyeje ili Kila muda niweze kufungua hizo msg za hio wasap ya mtu
Mkuu cheki vizuri, the hunter may be the hunted.Huu uzi umekuja wakati muafaka kabisa naanza kuushughulikia hivi punde.
Nitaleta mrejesho