Hapana. Asilimia kubwa ya wanawake hapa Tanzania wanahudumia nyumba zao kwa mishahara yao wenyewe. Wanaume wakiombwa hela ya matumizi masimango, matusi mara mke anaambia huna kazi? Mikono yako si ipo? Katafute hela. Sasa kauli kama hizo zinafanya mwanamke akatafute hela ananunua viti nyumbani mwake.
Uko sahihi kabisa spiritual husband haijaletwa na Mungu. Bali alieileta ni shetani. Hio ndoto ni mbaya sana. Inabidi uombee sana ili hio ndoto isitokee tena
Kwa kweli hii inasikitisha sana. Mama anawafundisha watoto tabia mbaya sana. wakikua watajua maisha yako hivyo.
basi angemuacha home. na angemletea hata chips kuku ili mdada aone yuko part ya familia.
Wasanii wa Tanzania wana uwezo mzuri wa kutunga muziki mzuri sana. Shida inakuja kuimba live hawafanyi mazoezi ya kuimba.
Kikawaida alitakiwa awe na team ya performance waanamua ni nyimbo zipi zinafaa kuimba kwenye jukwaa kubwa. pia wanatakiwa kuimba mwanzo mwisho. Na wanatakiwa kuwa na mwalimu...
unajua nini sisi watanzania ni watu tusiojitambua kabisa. Naunga mkono bora mechi iwe karume huko kutakuwa na afadhali. Yani image yetu imechafukwa kweli kweli.
Mimi ninaona bora wapate ujuzi kuhusu namna ya kuandika stori nzuri inayoendana na tamaduni zetu ikawagusa watu kujifunza na kuangalia. Asilimia kubwa ya drama na movies wanazotengeneza wanafundisha namna wanasiasa wanaishi, matajiri au matukio makubwa yaliyowahi tokea kapo Korea. mfano Glory ni...
Yani mimi nimecheka.
Yani mleta mada hakuna kama mwanaume ambaye ni romantic kama Gong Yoo au Maurice Sam. Pengine hata wao hatuwajui hawa waigizaji wanaishije na watu wao.
Hio ni fantasy tu.
Bora ungesema awe na heshima, upendo na responsible kwa familia yake. Hayo mengine they don't exist...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.